Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Huyu kazama majini asubuhi bna usitudanganye
 

Kama ulitaka kumlaumu mkuu wa mkoa ungeenda tu moja kwa moja sio kuzunguka huku na kule!
Kuzama kwa Mv Nyerere, manahodha na wahusika wa kivuko wawajibishwe, serikali sijui kuu au ya mtaa unaiwajibishaje! Tunawajibisha watu…kama ni mkata tiketi, mkaguzi, kama ndio nahodha mwenyewe anaanza kuondoa chombo kilichosheheni vile hawa ndio wa kuwajibisha!
 
Waziri mwenyewe dhama no-1

Alipoambiwa bungeni hakujali alipuuza

Serikali - ya Pombe -no-2, kwasabab
- Imesahau majukum yake nakushinda kutwa nzima kufikiri inaufyeka upinzani kabisa, ikifanya matumizi ya hovyo makubwa nayakutisha kwakina waitara, askali na uhuni wa kila aina

- kukimbilia vipaumbele vikubwa vya madege kwa malipo ya cash bila kuzingatia watanzania waliowengi wanataka nini

Hakuna ni serikali ya sintofahamu.
 
Kama ni kweli tunajifunza kwa hili lisijirudie,kuzuia watu watulie walipokaa hadi meli itie nanga,kudhibiti uzito na idadi ya watu watakawao,kuongeza idadi ya vivuko kulingana na uhitaji,kuwepo kwa rescue team zenye fiber speed boat,helicopter, maboya yatanukayo hadi mita mia na kuwa kama jukwaa ili wanaookolewa wakalie kupumzika wakisubiri kupewa huduma za kwanza,madawa,spotlight za kwenye maji, wapiga mbizi,kamba zieleazo hata mita 100 zinazoweza tupwa kwa helicopter toka juu kama wavu eneo la tukio ili yeyeto anaetapatapa kuanzia mita 2 anaweza daka kamba hizo,kuwepo na mtoa mafunzo ya jinsi ya kujiokoa wakati wote tatizo likitokea kama ilivo kwenye ndege wale waelimishaji,kuwepo na standby nurse au watu wa huduma ya kwanza mda wote chombo kiwapo majini. Fedha ya akiba standby,mfumo wa maafa kila mkoa urudishwe na upewe fungu ambalo litakuwa likikaguliwa na taarifa zipelekwe ofisi ya raisi kudhibiti utumikaji wake,tuwe na backup standby rescue team,nk.Uhai wa mtz mmoja una thamani kuliko Marudio ya uchaguzi zisizo na tija kwa taifa.
 
Pagum ni hapo kwenda kulala uokozi uendelee asubuhi
Huyo jamaa bana sijui 2
 
Kwa mfano, unamtoaje Mkuu wa mkoa kwenye hii dhahama?
 
Thubutu huyo makonda tu na mavyeti yake amelindwa kama moyo wa MTU

Angelikuwa ndani ya hicho chombo, baba angeamuru watu wakaushe ziwa ili apatikane.
 
wote wasamehewe.
Kasoro yule aliyewaambia waokoaji wakalale.kesho ndo waendelee.
Aiseee.maji sio mchezo.
Idadi ingepungua kama wangeendelea na kazi..masaa 12 kwenye maji sio .mchezo
 
Kwa mfano, unamtoaje Mkuu wa mkoa kwenye hii dhahama?

Huyo hana ubavu wakusitisha zoezi lazima aliaambiwa na yule asiona uchungu Lisu kupigwa lisasi, na akina saanane kupotezwa

Mwenye mzizi mrefu ndiye haswaaa aliyeamua.
 
mkuu wa mkoa hahusiki na kuzama kwa kivuko bali kama ni kweli alisitisha zoezi la uokoaji basi awajibike kwa maelekezo mabaya ya uokoaji!
Kumbuka kuna tendo la kuzama ni moja…na kuokoa wahanga ni jambo jingine!
kubeba watu idadi kubwa kuliko hata viokozi nalo ni janga jingine na wanaoendesha vyombo hivyo wawajibishwe!
 
Ni Mara moja MV Nyerere imebeba zaidi ya uwezo wake? Lengo la kwanza la vyombo vya serikali ni kutoa huduma siyo biashara, lakini siyo kwa hapa kwetu. Hao unaowatetea wanapaswa kuwajibika maana haiwezekani mwaka 1978 uwe na meli inayobeba abiria 100 na 2018 uwe na meli hiyo hiyo na bado usipredict tatizo, basi wewe ni Zuzu.
 
Je huyu fundi mkuu aliyekaa saa 48 vipi? Usicheze na MUNGU mkuu
Je huyu fundi mkuu aliyekaa saa 48 vipi? Usicheze na MUNGU mkuu
Ndio maana tunasema nyie ccm badala ya kununua yale magari ya washawasha mngezingatia kupata vifaa vya uokoaji kama helmet zenye taa, na special jackets kwa ajili ya resque, na sio kujikalisha hapa mnatoa macho, watu wakitoa maoni yao mnasema wanatafuta umaarufu, manataka watu wakae kimya kama mazwazwa, this is our Freedom Country bwana, tusingependa kufanywa vibwengo
 

Simtetei mtu, serikali haitakuja jikoni au chooni kwako kukupigia kelele kuhusu usafi ili usipate kipinduapindua, au ofisini kwako kama hutawajibika kikamilifu utakuwa unaishi na janga ambalo siku moja litachoka kukuvumilia…
ni hali hii ya kutokujari na kuishi kwa mazoea badala kwa umahili wa kazi yako ndio kunakopelekea majanga kama haya…ni wazi kuwa hawa wafanyakazi wa kivuko hicho na vingine vingi…na hata kwenye mabasi/magari, hali wakijua madhara yatokanayo na kuzidisha mzigo ukilinganisha na uwezo wa chombo ktk taaluma yao ya usafirishaji wanaleta mzaha na kuzoelea mzaha…na kama wahenga walivyosema…'mzaha mzaha hutumbua usaha' haya yametimia kwa manahodha na wote wanaoendesha Mv Nyerere 'wamekibinua na kuwaua hao waliokuwa wanawasokomeza kwenye kachombo hako! Serikali haina lawama ya moja kwa moja ktk hili bali kuna watu waliopewa kazi ya kuiendesha Mv Nyerere ndio waliotuangusha kwa kuibebesha zaidi ya uwezo! Inawezekana hata ktk uteuzi au uajiri wa wataalamu hao walipitia njia ya panya na hivyo kutokuwa na sifa sitahili!
 
Nasimama upande wako OKW, Eti kwamba hawa ni wapiga kura wangu kwa hiyo wasibomolewe, Nami nafurahi kuona hivi vipande vya Tanzania kwani kwa sasa havizuiliki

chuki za namna hii hazijawahi kumwacha mtu salama! haya ya wapiga kura wangu yanahusikaje hapa sasa!?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…