Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Nimeacha kuendelea kunsikiliza Kangi Lugola TBC, badala ya kueleza miakkati na kuongeza nguvu za uokoaji anaanza mipasho.
Kuwa kuna watu wanasema serikali haitaweza kuokoa watu etc.
Hawa jamaa akili zao sijui zipoje
Kuwa kuna watu wanasema serikali haitaweza kuokoa watu etc.
Hawa jamaa akili zao sijui zipoje