MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Siwezi tena kurudia kosa nililofanya wakati ule wa tetemeko la Kagera..Je kufunguliwa A/C ya mafa yaliyotokea ajali ya kivuko je AC ya mafa ya tetemeko Kagera yamesaulika? Je Rambirambi ya Watoto wa Lucky Vicent waliyopata ajali yamesaulika tuwekane sawa
Kwani wahanga walimpigia kura Jiwe?
Msitupangie na kwanza hatuhusiki!
Kweli inatia hasira sanaSichangi wala sitatoa rambirambi nakumbuka ile ya kagera Ngachoka
Kila mtu angepeleka kwa mtu wakeWanatafuta kiki za kisiasa,nitoe rambirambi mimi niwapelekee wao watangazwe kuwa wametoa wao,wakati ninaweza nikawakabidhi wafiwa ikajulikana moja kwa moja kuwa ni mimi nimetoa.
Sitachangia hata senti 5 , siyo kwa vile nina roho mbaya , bali SITAKI KUTUKANWA .Je kufunguliwa A/C ya mafa yaliyotokea ajali ya kivuko je AC ya mafa ya tetemeko Kagera yamesaulika? Je Rambirambi ya Watoto wa Lucky Vicent waliyopata ajali yamesaulika tuwekane sawa
Kweli aliyesema ukila ufute mdomo hakukoseaSitachangia hata senti 5 , siyo kwa vile nina roho mbaya , bali SITAKI KUTUKANWA .
Mi nkijibiwa hivyo namrushia jiwe sijali ... Cha walinz wala niniKivuko sikukizamisha mimi..in somebody's voice... Let's wait n see
Hili sidhani kama watakuja jibuKama wanahuruma na wafiwa watoe rambirambi kwenye fungu la maafa waache kutafuta njia za kupigia pesa,mbona fedha za kununulia wabunge wa upinzani hawasemi zinatoka katika account ipi?.
Unataka kutuambia kuwa ccm si miongoni mwa jamii yetu kutokana na ukatili wanaotutendea?Kukumbushana ni jema kabisa na umefanya kile kinacho takiwa kufanyika
Ila kumbuka jamii zetu zimeumbwa na upendo hivyo kila mtu atajiangalia kwa uwezo wake na jinsi atakavyo tafakari juu ya hili
Kununulia madiwani na wabungeUkichanga watasema nizakununulia vifaa vya kuokolea watu.