Tutoleee uchuro hapaPia nikashifa kwa mtu kusema eti ferry ilikuwa inaongozwa na "dei waka" , huyu ndiye mtu gani? Neno hili haliko kwenye lugha yeyote hapa Duniani. Kuweni makini kabla ya kupost chochote. Ni aibu
We usihangaike kusikiliza maelezo ya watu wapuuzi kama hao. Kama hawakuweza kuelewa uwezo wa chombo wanachokiendesha, wanawezaje kutunga hadithi ya kueleweka? Maelezo kama hayo wameamua kutunga upuuzi mwingine.wanabodi tafadhalini naomba msaada wa kufikiria maana mimi naona kama nafikia etc,
hivi kweli watu wachache wanaoweza kusogea kwaajili ya kuteremka wanaweza kusababisha imbalance ya chombo kikubwa kilichobeba magunia na magari yenye mzigo mzito?
kwani na magari yalisogea au ilikuaje na magunia je yalisogea ili yateremshwe?
nashimdwa kuelewa kama ni kiki au ni nini,, haingii akilini hata kidogo. magunia 100 yanaweza kuwa na kilo 10000 na kama kulikuwa na gari lenye vifaa vya ujenzi inaweza kuwa ni kama kilo 2000,..jumla ni kilo 12000,,, na kwa idadi ya watu 400 wanaweza kuwa na uzito wa kilo 20000,,,je inamaana kwamba watu wote walisogea kwenye kale kanafasi kadogo na kusababisha hiyo imbalances? maana haiwezekani... ile nafasi ya kuteremkia huwa si kubwa kiasi kwaba watu wote 400 wasogeepo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
we are in the left track indeed.
Tutoleee uchuro hapaPia nikashifa kwa mtu kusema eti ferry ilikuwa inaongozwa na "dei waka" , huyu ndiye mtu gani? Neno hili haliko kwenye lugha yeyote hapa Duniani. Kuweni makini kabla ya kupost chochote. Ni aibu
Yule kichaa mpenda hela na mali za watu wengine na alivo na dharau na majivuno hashindwi kutamka Marehemu WALIJIZAMISHA ili serikali ihangaike kuwazika!Hili siwezi kuchanga.
Sijasahau ya Kagera.
Tutakuja kuambiwa serikali haikupindua pantoni na wala kwenye kampeni hatukuahidiwa pantoni kupinduka.
kwa vyovyote vile kitasaidia watanzaniaKwahyo kikinunuliwa kivuko watapanda bure au ndo utakuwa mradi wa ccm?
Hiyo tayari inasubiria ila kipindi hiki makampuni mengi yatatoa pesa ndogo au kutokutoa kabisaTumezoea serikali kukwepa majukumu yake, usishangae Hela ya rambi rambi inapangiwa matumizi mengine ya kununua kivuko wakati ni jukumu la serikali, yale yale ya bukoba Hela ya rambi rambi kurekebisha bara bara na hospital,
Mimi sichangi
Britannica
Yeye mwenyewe tayari kafanya mtaji wa kisiasa na uzi wake halafu anajitia kuwatafuta wengine mtapata tabu sana.Wewe umeenda?
Mmoja wa Mainjinia wa Kivuko cha Mv.Nyerere kilichopata ajali ya kuzama ziwa Victoria ameokolewa muda mfupi uliopita akiwa hai japo hali yake ni mbaya lakini anapatiwa huduma.
Imeelezwa fundi huyo alikuwa amekwama kwenye moja ya vyumba vya manahodha na alikuwa akigongagonga vitu ili waokoaji wamsikie jambo ambalo limetimia.
Lakini hawezi kuongea kutokana na hali yake kuwa mbaya baada ya kukaa ndani ya maji kwa takribani siku tatu.
wewe cheche zako zipo huku tu kwa sababu ya ID feki,ukiwa facebook unachagua cha kuandikaUnawezaji kuzuia mafuriko kwa mkono?
Ajue tu sasa ndio kabisa ameharibu!
Alafu wasitake kuturudisha enzi za ujima!
kwani wewe lini ulishawahi changia hata msiba wa jirani?Sichangi ng'oo
Imeelezwa fundi huyo alikuwa amekwama kwenye moja ya vyumba vya manahodha na alikuwa akigongagonga vitu ili waokoaji wamsikie jambo ambalo limetimia.