Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ipo siku nitayaporomosha humu nipigwe ban la maisha na wala sita jutia uamuzi wangu.
 
Swali langu na wakienda na nguo kuna shida gani ndugu yangu?
 
Huyu jamaa apewe tuzo ya ushauri bora wa mwaka😂
 
Nimejiuliza sana ili swali hasa baada ya kusoma katika gazeti la Chadema liitwalo Tanzania Daima kwamba uongozi unakaribia kumsajili maalim Seif katika chama chao. Ndiposa najiuliza mgombea urais mtarajiwa ndio kipaumbele cha Chadema kiasi cha kumtelekeza mbunge wa Ukerewe my Joseph Mkundi?!!!
 
Pontio Pilato una ' Hoja ' za msingi sana ila nikuombe tu kwamba tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa yote na tugange yajayo!
Genta unajua kabisa ninavyokuheshimu hapa JF, lakini kwa hili utanisamehe siwezi kunyamaza maana mbali ya utanzania wangu nimepoteza ndugu humo. Kazi zangu za kuzurura zimenipa ndugu na marafiki huko Ukerewe, Ukara na visiwa vingine ndani ya Victoria. Mongela ni ametekeleza wajibu wake wa kulinda kibarua chake. Ni wapi palipo na msiba kwa mila kiafrica waombolezaji wanalala kabla ya mazishi? Hata kama yeye alichukua nafasi ya Mungu na kutabiri vifo vya abiria wote, ndo nikalale maiti ya ndugu yangu iko majini? Kuanzia sasa nimeamini msemo wa rafiki yangu Al-qadir kwamba "Tanzania ndio nchi pekee duniani ukiwa unaongea na mtu amevaa miwani, asipokusikia vizuri atavua miwani ili akusikilize vizuri".
 
We jinga kweli ndio majibu gani ya kumjibu mtu aisee we huna hata huruma unchojali ni kuwasafisha mafiem wwnzako tu

Si na wewe mjuzi wa kutojali waokoaji pia.. nenda kaokoe usiku.. ujinga unao wewe lia kabisaaaa💉💉💉
 
Watanzania tunaendelea kupata tabu sana!

Hii awamu tupo kwenye kipindi cha mpito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…