Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ngoja nimalize kula kwanza nakuja
IMG-20180923-WA0000.jpg
 
Ni janga lipi alishawai kuhudhuria ukilinganisha na ufunguzi. Mliposema vio gozi wa siasa wasifanye siasa mlitaka aende mpate la kusem
Chadema wana hali mbaya walioenda wanafanya siasa walioenda wamesoma sasa sijui wafanyaje hii serikali kama mwanamke low life ukinipiga unanionea ukibisha unaniogopa serikali ya ajabu na waswahili wa ajabu hawajawahi kutokea chini ya jua
 
Wajinga sana, hata kutuma mwakilishi tu kiongozi wa kanda ya Ziwa yoyote wameshindwa, wapo Dsm wanaitisha press tu kumtukana Rais kichaa na kila aina ya propaganda kwa kutumia vifo vya watu.
Hivi kichaa anaweza kutukanwa? Maajabu hayaishi
 
Hiyo ndiyo itakuwa furaha yenu sasa unawashwa na kitu gani?
Hata ufanye ni uzembe wa Magu basi, ndio usishiriki kwenye msiba, jimbo la Ukerewe lipo chini ya CDM mmelitenga kama vile wana Ukerewe wanajipendekeza CDM, 2020 mtarudi huko mtatemewa mate.
 
Genta unajua kabisa ninavyokuheshimu hapa JF, lakini kwa hili utanisamehe siwezi kunyamaza maana mbali ya utanzania wangu nimepoteza ndugu humo. Kazi zangu za kuzurura zimenipa ndugu na marafiki huko Ukerewe, Ukara na visiwa vingine ndani ya Victoria. Mongela ni ametekeleza wajibu wake wa kulinda kibarua chake. Ni wapi palipo na msiba kwa mila kiafrica waombolezaji wanalala kabla ya mazishi? Hata kama yeye alichukua nafasi ya Mungu na kutabiri vifo vya abiria wote, ndo nikalale maiti ya ndugu yangu iko majini? Kuanzia sasa nimeamini msemo wa rafiki yangu Al-qadir kwamba "Tanzania ndio nchi pekee duniani ukiwa unaongea na mtu amevaa miwani, asipokusikia vizuri atavua miwani ili akusikilize vizuri".

Nimekuelewa Mkuu na pole sana pia kwa Kupoteza Ndugu katika huo ' Mkasa ' mkubwa wa MV Nyerere.
 
Jimbo la Ukerewa lipo chini ya CDM ila ndani ya CDM kuna ubaguzi wa kijinga sana. Na uhakika hili balaa lingetokea Arusha au Kilimanjaro CDM makao makuu wangetuma mtu wa kuwawakilisha kwenye msiba.
Misiba ya kaskazini wanavyoivalia njuga Chadema lazima iwe ya kichama.Angalia msiba ule wa watoto ambao basi lilitumbukia mtoni Na wa ndesamburo Chadema walikuwa kutwa wako msitari wa mbele .Mbwa wa Nassari aliyepigwa risasi alizikwa kwa heshima zote za Chama wabunge wa Chadema Na viongozi wa Chama walihudhuria msiba ule.Mbwa wa Nassari mbunge wa Arumeru iliyo mikoa ya kaskazini ana heshima na hadhi kwao kuliko hao wakerewe waliokufa na kivuko sababu huyo mbwa ni wa kaskazini wakati hao wakerewe waliokufa Kwenye kivuko si wa kaskazini
 
huo mnara una faida gani kwa waliopoteza ndgu zao, ina masna huo mnara unagharimu mamilioni yte hayo?
 
Tat
Amani ya bwana.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Mh John Mongella akihojiwa na vyombo vya habari ametolea ufafanuzi ule upotoshaji mkubwa uliofanywa na wanasiasa watafuta kiki mara baada ya kutokea ajali ya kuzama kwa kivuko cha Mv Nyerere kwenye ziwa victoria.

RC Mongella amesema yeye ni mkuu wa mkoa tu na wala si mtalaamu wa maswala ya uokoaji, hivyo alichokifanya na anachokifanya sasa hivi ni kupokea na kufanyia kazi maoni ya watalaamu wa uokoaji majini (divers).
Kabla ya kusitisha zoezi la uokoaji siku ya kwanza aliambiwa hali ya maji ziwani imeanza kuwa mbaya na kutokana na usiku ,hivyo angetumia kofia yake ya ukuu wa mkoa kulazimisha divers waendelee na kazi angeweza kusababisha madhara zaidi na angeweza hata kuwapoteza hao wataalamu wa uokoaji.

Maelezo ya mkuu wa mkoa ni majibu safi kabisa kwa wanasiasa wakurupukaji wanaopenda kudandia mambo bila kuwa na ushahidi wa maelezo ya kutosha.
Mara baada ya kutokea ajali hiyo wanasiasa kama Zito, Mbowe na Mbatia walikuwa na uwezo wa kufika eneo la tukio na kushirikiana na wafiwa kwa haraka mno hata kwa kutumia ndege lakini hawakufanya hivyo badala yake wakaanza kuitisha waandishi wa habari wakiwa Dar kutoa matamko na kupotosha watu ,huku wakijifanya wanaijua sana hali ya ajali kuliko watu waliopo eneo la tukio!!

Hali hiyo ya kutafuta kiki za kisiasa kupitia ajali na matatizo ya watanzania ilikemewa vikali na Rais wetu mpendwa Dr Magufuli. View attachment 875133

Uzembe wa kwanza ni kutumia wazamiaji wa kuzamia sato alafu anajibaragua hapa kwamba alishauriwa na divers ambao ni wataalam!

Unatumia wavuvi wa kuzamia samaki majini alafu unasema ulishauriwa na wataalam? Lazima wangesema kulikuwa na hali mbaya kwa sababu hawakuwa na vifaa vya kuzamia majini. Unategemea mtu azamie majini bila vifaa mchana na usiku?
 
Back
Top Bottom