Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!


Wewe ulipaswa kuhusika na uzazi wa MPANGO. Mbunge wa chama unachosema alizungumza bungeni kuhusu uchakavu wa kivuko wewe unataka wawajibike vipi??? Wewe ulitakiwa Uwe "BAO BAFUNI " Lisombwe na maji MWISHAENZI Mkubwa kabisa wewe.
 
Ila kiukweli yale majeneza aisee ..tena wameyaziba na mapazia ..serikale kichomi sana hii.
 
Wewe ni mbwiga kweli!

Unapokea sms ya matapeli kisha unaleta huku?

Tuoneshe hiyo sms na mtu akiyetuma weka namba yake hapa

Je kama ana ndugu aliyefariki unamwitaje mbwiga bila kujua??
 
Funzo lipi unazungumzia labda?
 

Attachments

  • _103523207_tz_previous_ferry_accidents_swahili_640-nc.png
    31.9 KB · Views: 20
tunakusanya hela tukanunue reli..
tutengenezee sifa !
mwitikio wa rambirambi umedorora mara hii, maana watu wanaogopa michango yao kwenda kuhongewa na kutumika kufanyia vikao vya vyama ikulu.
 
Watafuta kiki , hiyo kiki imebuma.
 
Hahahaaaa...... Kumbe huyu chamatusi ni Mkurugenzi pale ufipa, kwa kweli Chadema kula tatizo kubwa!
 
Unaongeleaje mabasi ya mwendokasi kujaza watu hadi kukosa pa kupumlia?

Unawezawalaumu watu (wahanga) wakati wao si chanzo cha tatizo.

Kuna wakati unalazimishwa na mazingira, mfano upo gerezani mwendo kasi kila gari linapofika limejaa hadi kupindukia, utasubiri hata kwa masaa 8 ili ubahatishe lisilijaa sana ilhali magari yenyewe yana muda wa mwisho wa kutoa huduma.

Tunatakiwa tufanye tafakuri ya kina kuhusu sababu hasa kwa kuusema ukweli ndipo tutakapoweza kuja na masuluhisho sahihi.

Tukiangalia kwa juujuu, tutaishia kumlaumu mnyonge.
 
kwa hili nawatetea chadema. muda wote wamejaribu kuzungumzia sakata hili. serikali kupitia lugola iliwapa vitisho kibao eti wanafanya siasa kwenye msiba. badala yake tumemshuhudia polepole na wanaccm wenzake wakiteka msiba mzima. ni vizuri viongozi wa chadema na upinzani hawajaenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…