LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Serikali ilianza kuwatisha wapinzani kupitia lugola badala ya kuwasikiliza. chadema wako sahihi kutokwenda....Wajinga sana, hata kutuma mwakilishi tu kiongozi wa kanda ya Ziwa yoyote wameshindwa, wapo Dsm wanaitisha press tu kumtukana Rais kichaa na kila aina ya propaganda kwa kutumia vifo vya watu.
Mbunge wa Ukerewe kaseme muache kumfitinisha na chama.Huu sio msiba wa chama kaa ukijua hiloNimejiuliza sana ili swali hasa baada ya kusoma katika gazeti la Chadema liitwalo Tanzania Daima kwamba uongozi unakaribia kumsajili maalim Seif katika chama chao. Ndiposa najiuliza mgombea urais mtarajiwa ndio kipaumbele cha Chadema kiasi cha kumtelekeza mbunge wa Ukerewe my Joseph Mkundi?!!!
Mkuu yasongeweza kuwa kama yale tuliyoyazoea.Mara nyingi majeneza ya ajali ya majini huwa hivyo kwa sababu ya uvimbe na deformation ya marehemuHata yaliyoitwa majeneza hayakuwa majeneza bali MBAO ZILIZOUNGANISHWA KWA MISUMALI , hivi hii nchi inaweza jambo gani ?
kumlaumu mbowe hapana. serikali iteka msiba na kuwatisha wapinzani. nashauri chadema watafute muda waende kivyao...Bila shaka Mbowe alitegemea Mbunge atetee uongo na uzushi wake, ila kwa aibu angetuma hata mwakilishi, si wana viongozi wa kanda hawa? Kweli kutoka Mwanza hadi Ukerewe wameshindwa?
Aliyesema Giza lmeingia hatuokoi watu mpaka kesho jua likichomoza ndo akazike yeye! Maana aliyataka!!Nimejiuliza sana ili swali hasa baada ya kusoma katika gazeti la Chadema liitwalo Tanzania Daima kwamba uongozi unakaribia kumsajili maalim Seif katika chama chao. Ndiposa najiuliza mgombea urais mtarajiwa ndio kipaumbele cha Chadema kiasi cha kumtelekeza mbunge wa Ukerewe my Joseph Mkundi?!!!
Mazishi yalishafanyika rambi rambi Na kuwa karibu Na wafiwa zoezi hilo huwa la maana Na kuthaminiwa hutakiwa kufanyika kabla ya MazishiKwani Msiba umeisha?
Unaongelea voongozi wa Chadema akina nani?Hawahawa wanaoandamwa na kuwindwa kila wanapoonekana bila kujali uhuru wa mawazo?Tumeona ubaguzi mwingi sana ndg wacha kumkufuru MunguSio Roho ngumu ni wabaguzi wangekufa wachaga hapo uone Kila mbunge , diwani ofisi zote za Chadema Tanzania zingetakiwa kuchangia rambirambi Na kutuma watu kwenye Mazishi Na viwango wangepangiwa.Lazima wafikishe.Wakerewe watajijua wao Na serikali.
Baada ya Mazishi? Kuna Msiba hapo? Msiba kuwa karibu ni kabla ya Mazishi.Sio kwenye arobaini watu wanakuwa wameshatawanyika hata Tanga ndugu wameshaanuakumlaumu mbowe hapana. serikali iteka msiba na kuwatisha wapinzani. nashauri chadema watafute muda waende kivyao...
mkuu msema kweli ni mpenzi wa mungu. aliyesababisha hali hii ni serikali hasa kupitia lugola waziri. kitendo cha kuwatisha wapinzani kwamba wanatafuta kiki ya kisiasa haikuwa sahihi. nashauri wabunge wa upinzani wakirudi bungeni wambane lugola juu ya kauli yake na ikiwezekana awajibishwe. pia nashauri wabunge wa upinzani wachange rambirambi zao kivyao waangalie namna ya kuwafikishia wafiwe moja kwa moja.Kwenye msiba wa wanafunzi wa Lucky Vincent Arusha walishiriki ila msiba wa wana Ukerewe Mwanza hauwahusu zaidi ya kutoa kejeli na uzushi, hawa jamaa ni wabaguzi sana.
Mbunge alipewa hata nafasi ya kuongea?Nimejiuliza sana ili swali hasa baada ya kusoma katika gazeti la Chadema liitwalo Tanzania Daima kwamba uongozi unakaribia kumsajili maalim Seif katika chama chao. Ndiposa najiuliza mgombea urais mtarajiwa ndio kipaumbele cha Chadema kiasi cha kumtelekeza mbunge wa Ukerewe my Joseph Mkundi?!!!
Tatizo hawa jamaa hawataki kushauriwa wakishauriwa wanambiwa wachochezimkuu msema kweli ni mpenzi wa mungu. aliyesababisha hali hii ni serikali hasa kupitia lugola waziri. kitendo cha kuwatisha wapinzani kwamba wanatafuta kiki ya kisiasa haikuwa sahihi. nashauri wabunge wa upinzani wakirudi bungeni wambane lugola juu ya kauli yake na ikiwezekana awajibishwe. pia nashauri wabunge wa upinzani wachange rambirambi zao kivyao waangalie namna ya kuwafikishia wafiwe moja kwa moja.
"rikiboy, unachuki na serikali na sijui nini chazo cha chuki yakoAisee me nlijua imezama kumbe ilipinduka afuu pale itakuwa kina kifupi serikali ingefanya Juhudi za dhati wangeponaa wengi
Ma CCM wapotishaji wakubwaNimejiuliza sana ili swali hasa baada ya kusoma katika gazeti la Chadema liitwalo Tanzania Daima kwamba uongozi unakaribia kumsajili maalim Seif katika chama chao. Ndiposa najiuliza mgombea urais mtarajiwa ndio kipaumbele cha Chadema kiasi cha kumtelekeza mbunge wa Ukerewe my Joseph Mkundi?!!!
mkuu. kwa tamaduni zetu za kiafrika ndani ya siku arobaini tangu msiba kutokea yeyote anaruhusiwa kwenda kwenye eneo husika. viongozi wa upinzani kutokwenda wameepusha mengi. huenda hata wasingetambulishwa wala kupewa nafasi. taifa lipo kwenye mtengano mkubwa sana hasa wa kivyama. tunakoelekea siko.Baada ya Mazishi? Kuna Msiba hapo? Msiba kuwa karibu ni kabla ya Mazishi.Sio kwenye arobaini watu wanakuwa wameshatawanyika hata Tanga ndugu wameshaanua
Mnatoa tu maneno ya kejeli, hivi angekuwa ni ndugu yako amefariki ungeropoka hivi? Kwa tabia hii , kejeli hizi mnategemea kweli Ukerewe itarudi CDM 2020 ? Au mnasubiri mje kusingizia mmeibiwa?
mkuu msema kweli ni mpenzi wa mungu. aliyesababisha hali hii ni serikali hasa kupitia lugola waziri. kitendo cha kuwatisha wapinzani kwamba wanatafuta kiki ya kisiasa haikuwa sahihi. nashauri wabunge wa upinzani wakirudi bungeni wambane lugola juu ya kauli yake na ikiwezekana awajibishwe. pia nashauri wabunge wa upinzani wachange rambirambi zao kivyao waangalie namna ya kuwafikishia wafiwe moja kwa moja.