Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Kwa mujibu wa mwananchi mida ya saa nne asubuhi mkuu wa mkoa amesema ni miili 86 imeopolewa..Ukijumlisha na wale hai waliookolewa inaonyesha kivuko kilikuwa na watu wengi kuliko idadi inayostahili ya watu 101.
 
Binafsi nimehuzunishwa sana na Maamuzi ya mkuu wa mkoa,hivi ni kweli zoezi la uokoaji linasitishwa sababu ya giza? Watu wanahangaika usiku kucha kutapatapa kutafuta msaada hadi wanajifia hakuna wa kuwasaidia kwa sababu ni usiku?hata karabai tu zingeweza kutumika,boti zikafanya doria angalau wale watu wanaotapa tapa wangeona mwanga wakaufuata na wakaweza kuokolewa!! So sad R.I.P masikini wenzangu mliotangulia!!!! Miili yenu najua itakuwa imeshasombwa na mawimbi ya usiku!
 
naona helcopter inaelekea huko labda ndo uokoaji unaenda kuongezewa nguvu
 
Mkuu! inamaana saruji na magari yalibimbilikia upande mmoja? picha sipati hata negative nimekosa kabisa.
 
Kwa mujibu wa mwananchi mida ya saa nne asubuhi mkuu wa mkoa amesema ni miili 86 imeopolewa..Ukijumlisha na wale hai waliookolewa inaonyesha kivuko kilikuwa na watu wengi kuliko idadi inayostahili ya watu 101.
Daah, aisee poleni sana Watanzania. Ni msiba mzito.
 
Eti ilipofika saa 12 jioni ilibidi wasitishe uokoaji kutokana na kukosa taa mpaka leo asubuhi! Yaani baada ya zaidi ya miaka 50 ya uhuru tumekosa taa ya kumulikia au kupeleka umbali usiozidi mita 200 ziwani?! Hivi hata kama vifaa vilikuwa Dsm au Mtwara si wangechukua bombadia moja au hata Dream yetu na kujaza vifaa na waokoaji na kuwapeleka eneo la tukio? Kama hilo nalo lilikuwa gumu si wangepakia genereta kwenye boti na kuipeleka karibu na tukio na kuliwasha kupata mwanga? Hivi hata wangewaomba watu wa fiesta wawape yale mstaa yao si yangesaidia? Mimi sijaelewa kabisa! Sasa leo wanaokoa au wanaopoa?
 
Kuna video huko Instagram inatrend mbunge mmoja alitoa ANGALIZO kuhusu kivuko hicho na hakika imetokea, so [emoji17] maisha ya wapiga kura yamepotea.
Unaweza weka hyo vdeo hapo
Wengine insata gram hatukujui

Swaleh amesema nbonyeze reli ndo ntaingia ...nmebonyeza hadi kidole kinauma ... Sijaingia
 
Mods tupo tunakunywa chai

Usitusumbue
 
Mlikopeleka akili zenu nyie watu Mungu ndo anajua, hivi kwelikuna binadamu anaweza kukaa ndani ya maji tokea saa nae mchana hadi usiku akawa hai? anapumua kwa matamvua? kivuko kimepinduka karibuna ufukweni ho watu waliokuwa wakitapata usiku kucha uliwaona pekeako? according to you ni hekima kurisk uhai wa walio hai (waokoaji)ili kurecover maiti?!!! upuuzi wa hali ya juu.
 
Tuna flyover, reli ya umeme, barabara, etc.. we are on ze raiti traki. Tutembee vifua mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…