logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,242
- 5,543
Mkuu,Kwa kweli hawa wahusika wa kivuko ni wahuni sana.
Haiwezekani meli yenye capacity ya watu 100 ibebe watu zaidi ya 400.
Ukijaribu kuwaelimisha watakwambia katengeneze meli yako upande ujinafasi.
Hata kwenye madaladala watu wanajazwa nyomi kama siafu.
Kila kitu shithole.
Kwa vijijini siku ya mnada najua unajua usafiri tunavyojazana. Ukizingatia wamiliki wanataka pesa tu bila kutoa elimu kwa abiria. Just imagine overloading ya watu na mizigo wakimbilie upande mmoja, yale yale ya MV Bukoba watu kukimbilia upande na kutoboa meli watoke kumbe ndo disaster.
Kwa ufupi hatujifunzi hata 2012 MV. Spice highlander.
Tunahitaji uwajibikaji kwa mamlaka husika.