Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Adui mwenyewe atokee wp .....
Kenya ama Uganda....???
 

Hehima kwako mkuu.

Nilikuwa naelewa ukiniona utakuja hapa, safi sana.

Sasa bila shaka unafahamu jinsi utaratibu ulivyo wa abiria kupata nafasi ya kupanda vivuko kama hivi.

Kwanza, kulikuwa na gulio hivyo watu wengi walitaka waende gulioni.

Pili, wasimamizi wakaingiwa hamasa ya kujaza abiria hivyo initial estimate ni zaidi ya abiria 300.

Tatu, wasimamizi wa kivuko ni miongoni mwa walozama na vifaa vyote muhimu vinavyohusiana na kukata tiketi na ambao mengine vimezama majini.

Hivyo "vital evidence" imepotea lakini taarifa zinakwenda Reuters na vyombo vingine vilivyopo pale vinaelewa namna ya kupata habari kwa uhakika.

Nne, kivuko ni kizima na hakikuwa na kasoro ya kukiwezesha kuzama zaidi ya kujaza abiria wengi kupita kiasi.

Kilichobakia ni kuomba wale vijana wenye simu zao ambao walikuwa ng'ambo wakirekodi tukio.

Hivyo hapo ndo tunawaachia polisi.
 
Unajua matengenezo yaliyotakiwa yalihitaji fedha kiasi gani??
 
Kivuko kina zama umbali wa mita 50 kabla ya kutia Nanga majira ya saa 8 uokoaji unaanza rasmi saa 12
 
Mwanga Wa karabai huwezi penya ndani ya maji wenyew unasambaa nje ya maji ndio maana dagaa wanaibuka kuufata, kama ungekuwa unafucha chini ya maji dagaa wasinge ufata juu,,,,pia hiyo spotlight ya helicopter nadhan ingekuwepo ingefanya kazi, nadhani ni suala la uelewa mcwe n mawazi ya funza
 
kwahio unamaanisha alipiga kura kukataa bajeti na bajeti haikupita hvyo kupelekea kukosekana kwa pesa ya kukarabati hcho kvuko? mi navyofaham bajeti ilipita labda utafute nyngne ya kumhusisha huyo mbunge wa chadema, nyie lumumba akili zenu mnazijua wnyw
 
Ndo muanze kudai mnunuliwe meli na boti za uhakika.
Sio mnanunuliwa ndege mnashangilia.wakati wanaopanda wengine.
Nyie mnapanda boti chakavu.
 
Adui mwenyewe atokee wp .....
Kenya ama Uganda....???
Just thinking loudly.
Unadhani hao hawawezi host wahalifu. Kama Idd Amin alijaribu unadhani hakutakuja marais vichaa kati ya majirani asiyeheshimu mipaka itakuwaje.
Au mpaka itokee?
 
Kama kweli sababu ni hii basi ni uzembe wa operators! Kiviko kinaponunuliwa huwa kinakuja na safety operating procedures ambazo ni LAZIMA zifutwe kila siku bila kuzembea.
 
Yani huyu anaetoa matamko sijui anafikiria kwa kutumia matako?? Hivi untuambiaje ikifika saa 12 jioni zoezi la uopoaji litakuwa limesitishwa rasmi ana uhakika gani wa kuwapata masalia wote 232 walibakia???? Ukifikiria sana unawaza kukufuru Mungu bure
 
Tunapoongelea mambo ya uhai wa watu tuwe tunaacha kidogo pembeni mambo ya unafki na kutafuta kiki au kujitetea kusiko na msingi.Bhasi tuassume waziri hausiki directly na ajali lakini tumuongelee waziri indirectly

1.Waziri ndio huwa anapeleka bungeni bajeti je alikua hajui kwamba katika wizara yake kuna vifaa na wataalamu wa uokoaji wamepungua au hawapo?,au hizo bajeti anazopeleka bungeni ni kwaajili ya posho na ziara za kushtukiza pamoja na makamera?

2.Waziri amefanya juhudi gani kujaribu kuwaokoa majeruhi wa ajali hii maana ajali imetokea saa nane mchana lakini mpaka usiku walifanikiwa kuwaokoa watu 37 na maiti 44,Je waziri hakuona umuhimu wa kupangua bajeti yake ili awezeshe zoezi kuendelea mpaka usiku maana toka ajali imetokea walikua na uhakika kwamba wanaweza wasimalize kazi ya uokoaji kwa mwanga wa jua.Je waziri hapaswi kuwajibika kwa kutokutoa bajeti ya emergrnce ili kazi ya uokoaji ifanyike mpaka usiku?

Tuache unafki wa kuunga juhudi
 
Ndio kusema uongozi kwa Tanzania ni ajira? Nje ya uongozi ni kulala njaa?

Napenda sana aina ya viongozi wa Kenya; wengi wanatafuta uongozi kwa ajili ya kujenga jina na si kipato
 
Huo ni uzembe, usituletee ujinga wako hapa
 
Ipo siku yako, kwa sasa hakuna lugha unaweza elewa. Hiyo siku ikifika, utaiona posibility ya mtu kuogelea na mkono mmoja huku wa pili kashika mshumaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…