Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!


Seriously kama hujalewa basi una matatizo makubwa ya akili!!!
 
Mkuu wa mkoa ndo AMEONEKANA zaidi katika vyombo vya ahabari vya ndani na nje kuliko Waziri wala msaidizi wake.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Anahitaji pongenzi sana kwa juhudi alizojaribi kumobilize uokoaji.
 
Naniliu yuko huko?
 
Maneno mengi ya nini sasa?
 
Swali la kipuuzi sana hili.
Ulitakiwa uulize
1)Ni kwa nini matukio haya yanaendelea kutokea tena na tena miaka 22 baada ya kuzama MV bukoba?
2)Kwa nini hii ajali imetokea?Ilikuwa haizuiliki?
3)Katika Karne ya21,Kwani uokoaji usitishwe kwa sababu kuna giza?
4)Kwa nini haijulikani hadi sasa ni watu wangapi walikuwepo?
Bado kuna uzembe mkubwa hivi hata wa kutunza kumbukumbu za abiria?Ni nani alipaswa kujua idadi halisi ya abiria
5)Kama taifa tunajua vipaumbele vyetu? Tunawezaje kununua ndege kwa mabilioni ya pesa kwa ajili ya watu wachache,huku tukishindwa kuboresha usafiri wa majini unaotumiwa na ni tegemeo la wananchi wengi?

Ya Mbowe yaache kwanza sio muhimu kwa sasa,hawajibiki kwa chochote hapa,kuna watu waliopewa mamlaka ya kukusanya kodi zetu,tuanze na hao.
Mjadala uendelee.
 
Daah...!!
 
Mods mmeleta huu uzi huku

Hivi mko serious kwan hili ni jambo la kisiasa

Achen hizo mnazingua wakuu
 
Vijana wa Lumumba kuweni na busara na huruma kwa hao waliofariki mnaleta mzaha kweli?
 
Acheni kuleta siasa kwenye maisha ya watu. Huu upumbavu wa CCM na Chadema unaanza kukera, kuweni na mipaka.
 
Kwa nini Amiri jeshi mkuu asiwepo Ukerewe awe anasaidia wanajeshi wanaofanya uokoaji?

Kwa nini rais asiwepo Ukerewe akawafariji 'wapiga kura wake'??


Mngemsikiliza Mkundi kuhusu kivuko cha Mv Nyerere sasa hivi tungekuwa hatuna msiba wa taifa.

Majimbo ya watoto wa kambo (wapinzani) hayapelekewi maendeleo hadi kina ccm yapate maendeleo
 
Mbowe anahusika nini hapa?! Au unataka kutumia “ubaya” wa Mbowe kuhalalisha kutowajibika kwa wanao takiwa kuwajibika ishu ya kivuko??!!
Ilikuwa on a lighter note si zalau ila ni/KUCHEKA KIDOGO!
Samahani mkuu.
 
Hivi vivuko vinabeba sana kupita uwezo wake sio hicho tu kuna vivuko vinabeba mizigo na watu hadi vinakema.

Usimamizi na umakini unatakiwa kwenye vivuko vyote nchini, pia sijajua kama MV Nyerere haikuwa na maboya.



Maboya hata yakiwepo sidhani kama yanatosha kwahivyo wanavyozidisha idadi ya watu. Hata hivyo unakuta yamefungwa kwa pamoja badala ya kugawia watu wavae kabla ya kuanza safari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…