Ameongea LIVE kwenye TBC akiwa na huzuni sana maana limemgusa sana naamini.Lakini Tanzania One ameshasema kachoka kutoa rambirambi
Uongozi siku hizi umekuwa simple! Unacheki mitandaoni wanasemaje then unareshape decisions zako, mwisho unakamata mic. Kiujumla mitandao ya kijamii imesaidia sana.Wamechelewa sana kutoka na kusema neno,ilitakiwa watoke mapema kuonyesha kuguswa na hili janga.
Leo wako bize wanajaribu kupata ujiko kisiasa.Mkuu hao matusi ndio Sera waliyobaki nayo!
Ameenda ndiyo, yeye ni mzalendo!Babako ameenda?
Nina sababu ya msingi kutosikiliza. huwezi kusikiliza kichaa (amejisema yeye na wala si mimi) and make any sense from his/her words! Ni hiyo tu sababu yangu.Kuna mtu kakushikia bunduki kichwani usikilize kwa lazima? Kapige ulabu mkuu.
Madai yake ni Starring, hatokei mwanzoni mwanzoni. Anakuja kujitokeza baadaye baadaye hivi.Anaongea Leo alikuwa wapi siku zote mbili hizi
Lazima liongelewe kisiasa kwani pesa za kununua ferry na mengineyo kwa ajili ya maendeleo ya walipa kodi mnarudia chaguzi zisizo na tija
Hapa huchomoki hata usemeje
Haya sasa mnaanza kuunda tume watu wale posho za bure badala ya kurekebisha miundo mbinu
Hii nchi imelogwa kupitiliza
Siasa mumo kwa mumo mpaka muwaelewe walipa kodi na dharau zenu
Ushaona serikali nzima inajiuzulu mkuu?yaani serikali nzima ya jiwe na inapaswa kujiuzulu na siyo waziri peke yake, mbunge alikwisha ona kuna shida kwenye hicho kivuko na akatoa ushauri bungeni lakini serikali ya jiwe ikapuuza, leo hii roho za watanzania zimetekea! ila ma-CCM kiama chao kitafikaa tuu!
exactlyYaani hadi Rais Kenyata kasema watatoa msaada wa vitu vitakavyohitajika kwa uokozi tu. Nadhani amestukia zile bati n.k bukoba. Haha hahaaa. Cha kufanya ni kuwatembelea wafiwa manyumbani tu.
Joka kuu naamini una uelewa mkubwa, ILA TU UNATUZUGA. FEDHA ya mfuko wa Jimbo si ya Mbunge. FEDHA ile hutumika kutatua changamoto cha kibajeti KTK HALMASHAURI kulingana na Kamati husika itakavyopitisha. So MIRADI midogomidogo inaweza saidiwa. Kivuko nafikiri si Mali ya HALMASHSURI, ni serikali kuu...Mbunge alichangia kiasi gani toka kwenye mfuko wa maendeleo ya jimbo?
..kwanini ni wagumu kusifia serekali pale inapofanya mambo mazuri?
Muulize polepole hivi, ukerewe ipo nchi gani kati ya zinazounda afrika mashariki?Jibu swali, kwanini mmemtenga mbunge Mkundi?
Nina hakika aingeruhusiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama.Nilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
Kote tu kwa WaTanzaniaR.I.P kwa wote waliotuacha. Kuna watu tayari wamesahau kwamba kuna wenzao waliofiwa. Alafu Moderator huu uzi upeleke kwenye jukwa lake, sijaona habari zozote kuhusu Kenya.
Huenda tunatumia kichaka cha Mbowe kujaribu kuficha uzembe uliosababisha hivi vifo.Mbwiga hapa namzungumzia Mbowe kama KUB...........siyo yule wa Bills use unaelewa!
Kuna watu mna akili tu za kuvukia barabara.Nampongeza Mwita Waitara kwa kufanya maamuzi sahihi!