Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Yaani hadi Rais Kenyata kasema watatoa msaada wa vitu vitakavyohitajika kwa uokozi tu. Nadhani amestukia zile bati n.k bukoba. Haha hahaaa. Cha kufanya ni kuwatembelea wafiwa manyumbani tu.
 
Mwanza kuna polisi wanamaji. walikuwa wapi wakata chombo kinazidisha ujazo, RPC awajibishwe.
 
Wamechelewa sana kutoka na kusema neno,ilitakiwa watoke mapema kuonyesha kuguswa na hili janga.
Uongozi siku hizi umekuwa simple! Unacheki mitandaoni wanasemaje then unareshape decisions zako, mwisho unakamata mic. Kiujumla mitandao ya kijamii imesaidia sana.
 
Anaongea Leo alikuwa wapi siku zote mbili hizi
Lazima liongelewe kisiasa kwani pesa za kununua ferry na mengineyo kwa ajili ya maendeleo ya walipa kodi mnarudia chaguzi zisizo na tija
Hapa huchomoki hata usemeje
Haya sasa mnaanza kuunda tume watu wale posho za bure badala ya kurekebisha miundo mbinu
Hii nchi imelogwa kupitiliza
Siasa mumo kwa mumo mpaka muwaelewe walipa kodi na dharau zenu
Madai yake ni Starring, hatokei mwanzoni mwanzoni. Anakuja kujitokeza baadaye baadaye hivi.
 
yaani serikali nzima ya jiwe na inapaswa kujiuzulu na siyo waziri peke yake, mbunge alikwisha ona kuna shida kwenye hicho kivuko na akatoa ushauri bungeni lakini serikali ya jiwe ikapuuza, leo hii roho za watanzania zimetekea! ila ma-CCM kiama chao kitafikaa tuu!
Ushaona serikali nzima inajiuzulu mkuu?
Huo si uhalisia hasa katika tukio kama hili.
 
Yaani hadi Rais Kenyata kasema watatoa msaada wa vitu vitakavyohitajika kwa uokozi tu. Nadhani amestukia zile bati n.k bukoba. Haha hahaaa. Cha kufanya ni kuwatembelea wafiwa manyumbani tu.
exactly
 
Mimi natamani kweli hao wahusika wa kivuko washughulikiwe ipasavyo.

Ingekuwa ni mob justice, wapangwe mafungu mafungu wapondwe mawe.
 
..Mbunge alichangia kiasi gani toka kwenye mfuko wa maendeleo ya jimbo?

..kwanini ni wagumu kusifia serekali pale inapofanya mambo mazuri?
Joka kuu naamini una uelewa mkubwa, ILA TU UNATUZUGA. FEDHA ya mfuko wa Jimbo si ya Mbunge. FEDHA ile hutumika kutatua changamoto cha kibajeti KTK HALMASHAURI kulingana na Kamati husika itakavyopitisha. So MIRADI midogomidogo inaweza saidiwa. Kivuko nafikiri si Mali ya HALMASHSURI, ni serikali kuu.
 
Nilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
Nina hakika aingeruhusiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama.
 
Watu wanaandaa koo ya kulamba
IMG-20180921-WA0045.jpeg
 
Back
Top Bottom