Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Yote aliyoyasema kwenye press ya Jana ni uongo mtupu. Mbunge wa Ukerewe kuweka kula kitu hadharani soon kuhusu hoja take ya kivuko aliyoitoa bungeni. Stay tuned nitawajuza kupitia hapa hapa!
Alishazungumza jana live Clouds FM hauna kipya cha kutujuza.
 
Ajali hutokea kutokana na makosa y'a kibinadamu ! Hivyo basi kinachotakiwa ni kuzitakia faraja familia zilizo patwa n'a maafa haya makubwa ! Ila kama taifa tujitafakari n'a kujua chanzo ili tatizo lisijirudie ! Kwa haraka mimi naona chanzo ni mizigo kutokupangwa vizuri ili chombo kiwe na balance hivyo centre of boyance ikahama ! Na yote hii ni lack of knowledge kwa attendants ! Kwa kawaida engine ikizima chombo hakiwezi zama maramoja ! Watu wanapata fursa ya kuchukua maboya ! Kwa tatizo kama Hili haliwezi kuisha bila kuweka utaratibu unaosimamiwa n'a qualified persons ndani ya viombo vya majini ! Mengine y'a kusamehana kwani tunajua mapungufu yetu n'a ignorance kama waafrica
Mkuu nataka nikuambie watu wanaoishi na kufanyakazi ziwani ni very qualified kuliko hao wakusomea mimi nimefanyakazi za uvuvi ziwa victoria miaka ya nyuma huko Musoma tulikuwa tunafundishwa na mzee mmoja wa kikwaya alikuwa na ujuzi mkubwa sana ndani ya ziwa anatambua hali ya hewa ziwani kwa kuyaangalia maji tu. Nilivyoambiwa sababu kubwa ya ajali hii ni kuwa kwanza ilikuwa imejaza kupita uwezo wake pia abiria baada ya kuzogea kufika mwaroni walihama wote na kwenda mbele kujitayarisha kushuka hapo ndipo kosa likawa kubwa zaidi ndiyo maana ikapinduka
 
Bado hiyo ni sababu ya kijinga tu! Chombo cha abiria 100 unapojaza zaidi ya mara mbili unatumia akili gani hiyo? yaani meli iliyobeba abiria wanaostahili inaweza kuzama kwa sababu ya watu kusogea mbele, Kweli?

Nimejaribu kujieleza kwamba taratibu za vyombo kama hivi hazistahili kusimamiwa na watu wapuuzi. Kuna watu hata kama wakisoma ujinga wa kupenda sifa kinyume na mafunzo yao hauwatoki.
Mkuu, uwe mpole, limeshatokea. Hii sababu ni technical reason kuwa ni kwa nini hakikuzama mwanzoni mwa safari au hata katikati na badala yake kikazama just 100 mts kabla ya kutua.
Bado naungana na wewe kuwa ni uzembe kuzidisha watu au mizigo.
 
Amani iwe nanyi wapendwa.

Rais wetu mpendwa Dr Magufuli jana ametoa salamu za pole kwa wote waliofikwa na msiba kutokana na ajali ya Mv Nyerere, pia salamu hizo zimelengwa kwa watanzania wote kwa ujumla ndiyo maana akatangaza siku nne za maombolezo na bendera za taifa kupepea nusu mlingoti nchi nzima.

Jambo la pili amewashukia kama mwewe baadhi ya wanasiasa viherehere waliofilisika kichwani ,ambao kwao ajali ya Mv Nyerere wameigeuza kuwa fursa ya kupata kiki kisiasa.
Rais Magufuli amewataka wanasiasa hao kuviachia vyombo vinavyohusika vifanye uchunguzi wake bila kuingiliwa na mtu yoyote na amewashauri kama wana ushahidi wowote wasubiri watuhumiwa wa ajali hii wakifikishwa mahakamani wataenda kusema ushahidi wao huko badala ya sasa kupiga porojo za kisiasa ambazo zinaweza kuharibu ushahidi.

Ikumbukwe kuwa mara baada ya kutokea ajali hiyo mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe aliitisha vyombo vya habari na kuanza kutafuta kiki kwa kujigeuza mahakama na kuanza kushutumu na kuhukumu watu kwa mambo asiyoyajua vizuri.

Pia Zito Kabwe na James Mbatia hawakuwa nyuma katika kutumia msiba huu kama mitaji yao ya kiki za kisiasa .

Inasikitisha sana viongozi wa vyama vya upinzani badala ya kuwahi eneo la ajali kwenda kutoa msaada kwa wapiga kura wao ,wanabaki twiter kukejeli wafiwa na kujijenga binafsi kisiasa bila kutoa msaada wowote kwa waliopatwa na ajali hii!!!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuwavua nguo hawa wanasiasa uchwara ,wachumia tumbo na wanafiki ,ambao wao muda wote wanawaza siasa tu huku vyama vyao vikiwafia kwa kukimbiwa na wananchi..

Njaa mbaya sana
Unaweza uka (........) kabisa
 
yani wee jamaa tangu muende kupima DNA namke wako nakuthibitika watoto watano uliowalea toka kuzaliwa ukidhani ni wako kumbe imethibitika ni wa Mbowe.

Kinachokuuma zaidi hao watoto wana damu ya kichaga ingekuwa nafuu labda baba yao angekuwa kanda ya ziwa.

Walrus wewe

hehehehehehehehehehehehehehhhehehheheheheheheh mmm ninajuaga hyu john "honeyc"! kumbe furaha ya kuitwa baba anayo mkewe!!majina ya JOHN mara nyng huwa wapo hv!kichaa si kichaa.vichembechembe vya ufala ufala yaan ujike jike tu arghhhh
 
DUNIA NZIMA INAJUA KUWA KOSA NI KUJAA KWA MELI KUPINDUKIA, MARA NNE YA UWEZO WA MELI KUBEBA!
JAMBO KUBWA NI KUWAELIMISHA WANA NCHI KUTHAMINI KUISHI KUCHUKUA TAHADHARI NA KUTOKUPANDA CHOMBO CHOCHOTE CHA MOTO KILICHOJAA SANA!
BINADAMU LAZIMA UTHAMINI MAISHA YAKO KWANZA KULIKO KITU CHOCHOTE walahi!
MAISHA YANA SONGA MBELE WITH OR WITHOUT YOU WALAHI!
That’s all!
 
Amani iwe nanyi wapendwa.

Rais wetu mpendwa Dr Magufuli jana ametoa salamu za pole kwa wote waliofikwa na msiba kutokana na ajali ya Mv Nyerere, pia salamu hizo zimelengwa kwa watanzania wote kwa ujumla ndiyo maana akatangaza siku nne za maombolezo na bendera za taifa kupepea nusu mlingoti nchi nzima.

Jambo la pili amewashukia kama mwewe baadhi ya wanasiasa viherehere waliofilisika kichwani ,ambao kwao ajali ya Mv Nyerere wameigeuza kuwa fursa ya kupata kiki kisiasa.
Rais Magufuli amewataka wanasiasa hao kuviachia vyombo vinavyohusika vifanye uchunguzi wake bila kuingiliwa na mtu yoyote na amewashauri kama wana ushahidi wowote wasubiri watuhumiwa wa ajali hii wakifikishwa mahakamani wataenda kusema ushahidi wao huko badala ya sasa kupiga porojo za kisiasa ambazo zinaweza kuharibu ushahidi.

Ikumbukwe kuwa mara baada ya kutokea ajali hiyo mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe aliitisha vyombo vya habari na kuanza kutafuta kiki kwa kujigeuza mahakama na kuanza kushutumu na kuhukumu watu kwa mambo asiyoyajua vizuri.

Pia Zito Kabwe na James Mbatia hawakuwa nyuma katika kutumia msiba huu kama mitaji yao ya kiki za kisiasa .

Inasikitisha sana viongozi wa vyama vya upinzani badala ya kuwahi eneo la ajali kwenda kutoa msaada kwa wapiga kura wao ,wanabaki twiter kukejeli wafiwa na kujijenga binafsi kisiasa bila kutoa msaada wowote kwa waliopatwa na ajali hii!!!

Hongera sana Rais Magufuli kwa kuwavua nguo hawa wanasiasa uchwara ,wachumia tumbo na wanafiki ,ambao wao muda wote wanawaza siasa tu huku vyama vyao vikiwafia kwa kukimbiwa na wananchi..
Khe khe khe khe khe. Hii habari imenifanya nicheke[emoji1787][emoji1787][emoji1787] badala ya kulia [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

"Rais wetu mpendwa amshukia mbowe Kama mwewe"....!!
 
Back
Top Bottom