Kwa mtazamo wangu,ajali ni ajali lakin katika hili tunaambiwa wazi kua kuna ukiukwaji wa idadi ya watu katika kivuko,ni wazi hilo swala sio la juzi tuu yani itakua Mara zote linafanyika ,swali je wahusika wako walikua wapi kuzuia ujwazaj wa abiria kupitiliza,adi Maafa yatokee??? Mkurugenzi wa TAMESA anapaswa kwajibika haraka sana,kushindwa kuwimamia kwa watu wake,RPC mkoa wa mwanza,,Na mkuu wa police wa ukerewe,mkuu wa kikosi cha maji cha mwanza,mkuu wa TRA mwanza,mkuu wa mkoa Na wa wilaya husika,hawa wote wanapaswa kuwajibika..Hawakua wakfatlia,haina Aja ya kukamata watu wadogowadogo,emu jiulize RPC hajawah kufatlia kuusu ukiukwaj with a Sheria???? Yani unauma sana..hawa wakuu wa wilaya inamana hajawah kufatlia juu ya kivuko hiki??? Swali la ziada je tungevamiwa na adui usiku wanajeshi wasingeenda vitani kwa sababu ya Giza???? Yani watu wanaona nchi kavu pale Na anakufa?? Kiukweli imeuma sana.hiv yy kwel mongela alienda kwake akalala wakati wananchi wake zaid ya 100 wamelala majini???