Lyceum
JF-Expert Member
- Oct 1, 2009
- 1,046
- 568
Huu ujinga mnafanya hausaidii nchi yetu. There is nothing wrong wananchi kuchanga. Na Kwa taarifa Yako tu ni kwamba hii barabara ipo budgeted kwenye dmdp 2 na kazi soon itaanza ila wananchi wameona wafanye jambo wakati wanasubiri serikali which we all appreciate. Unachokifanya wewe hapa kusema uwongo, ni a disgrace. Grow brotherUngekua Mtaa huo utanielewa dogo
Mnakurupuka kishamba sana
Wewe ni mkazi wa kwa Bedui?
Mbona mna akili za kishamba sana