Ukarabati wa Barabara ya Tegeta A (Kwa Bedui)

Ungekua Mtaa huo utanielewa dogo


Mnakurupuka kishamba sana

Wewe ni mkazi wa kwa Bedui?

Mbona mna akili za kishamba sana
Huu ujinga mnafanya hausaidii nchi yetu. There is nothing wrong wananchi kuchanga. Na Kwa taarifa Yako tu ni kwamba hii barabara ipo budgeted kwenye dmdp 2 na kazi soon itaanza ila wananchi wameona wafanye jambo wakati wanasubiri serikali which we all appreciate. Unachokifanya wewe hapa kusema uwongo, ni a disgrace. Grow brother
 
kufa kufaana mkuu
 
Ili ufike katika hii barabara inabidi uingilie wap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…