Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

Status
Not open for further replies.

Jack Beur

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2010
Posts
222
Reaction score
246
Nimekuwa nikimuona Le mutuz mara kwa mara akionyesha picha alizopiga na watu maarufu wa kiume na kike, na amekuwa akisema ana nyota ya kupendwa na watu maarufu na pia ni strategy ya kuinua biashara zake...anyway huenda ni kweli, lakini i am trying to connect the dots kuhusu Le mutuz alivyopost kuumizwa na kifo cha Secky( nafikiri wengi pia wameguswa kwa msiba huu nikiwemo na mimi ingawaje we never met and knew each other, nimeguswa kwa sababu ni binadamu mwenzangu na pia he was at the peak of his success,as they claim he was financially stable)

Miezi kadhaa ya nyuma Le mutuz alipost picha akiwa na Lulu somewhere at one of the big hotel, nafikiri ilikuwa Double tree, if you connect the dots,Le Mutus alikuwa na demu wa rafiki yake, kumbe inawezekana pamoja na biashara anazodai kufanya huyu mshikaji huenda pia nimiddle men, dalali au kuwadi wa mademu celebrity kwa big boys with cash in town.

Tafakari.

 
Duuh!.Le Mutuz Ni Kuhadi.?!! We Kubwajinga Ebu Kuja Uku Ufunguke Tuhuma Zako!
 
le mutuz huwa anafatilia sana where abts za mastar,ili akaombe kupiga nao picha.hana jipya huyo anataka kuaminisha watu yupo karibu na ma star na wenyenazo,huwa anajipendekeza sana,wala hakuna bilionea ama star anaemtafuta wala kuomba apige picha na le kitambiz
 


mbona kitambo tu jamaa kuwadi hilo...
 
U know nipo na super mogul Davies Mosha Mtanzania mwenye utajiri wa ajabu u know..

Wabebez wanapenda ku'hung na mimi sababu mimi ni super friend na mabilionea wa bongo u know..

Unajua Omari Bahressa the Big Boss wa SSB hawezi kukubali kupiga picha na watu wa ajabu ajabu..

Ndege tufananao tunaruka pamoja U know..
 
Hahaha halafu mkimzungumzia hivi anajiona super star!
 
I don't know what you heard about me
But a b!tch can't get a dollar out of me
No Cadillac, no perms, you can't see
That I'm a mo'fo P-I-M-P


 

Anapiga mizinga huyo hatarii zaidi y matonya pia ukuwadi inawezekana ila jb ndio kuwadi bora usione umri n tambi lake ni kuwadi balaa tena hela mbuzi tu
 
Nakubaliana na wewe huyu jamaa kwa age yake hakutakiwa kuwa mtu wa starehe,Hivi ana familia inamtegemea kweli?
Shame on him !!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…