Ukaribu wa Mastaa wa Kike na Gays( Mashoga)

Ukaribu wa Mastaa wa Kike na Gays( Mashoga)

Nahisi kama mashoga wanawatumia mastar kupata madanga wa maana
 
Mm nafikiri mashoga wanatumia nguvu kubwa kuwa karbu na hao mastaa wa kike ili wapate mabasha wenye hela na pia wapate umaarufu ili waonekane matawi hata wakiwa viwanja mashoga ndio wana clear bili na kujipga pga mapicha nafikir mashoga huwa wanamwaga mshiko ili wapate ukarbu na mastaa wa kike maana ile inakuwa kama investment
 
mkuu kuna wanao jifanya mashoga kumbe mchicha mwibaa,usiku wanawapekenyua vizuri hao ma star.
 
Back
Top Bottom