Ukata mifukoni mwa Watanzania na Bei ya Sukari, Cementi kupanda maradufu

Ukata mifukoni mwa Watanzania na Bei ya Sukari, Cementi kupanda maradufu

MPadmire

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
3,957
Reaction score
3,245
Wakati Magufuli anaingia madarakani sukari ilikuwa kati ya 800 na 1200 Kwa Kilo Moja. Mwaka 2016, Magufuli akaingilia Biashara ya sukari na sukari ikapanda hadi 2400.

Mwaka 2016 Magufuli alisema Matajiri wataishi kama Mashetani...alidhamiria watanzania wakose pesa, na hakusema masikini wataishi kama malaika
. Akafanya matendo makuu ya bomoa bomoa kimara bila fidia, akapora fedha za wafanyabishara za Bureu De Change, maelfu ya wafanyakazi wakakosa ajira. Mpaka leo Magufuli hajatoa riporti kwa umma kuwa ni pesa kiasi gani alichukua?

Mwaka 2019, Magufuli akaingilia tena na Sukari ikapanda, sasa sukari ni 2600 hadi 2800 Tshs

Molemo Sky Eclat Erythrocyte GENTAMYCINE

Ukiangalia mikoa Pwani, Kibaha, Chalinze, etc...Sukari ni muhimu na kipato ni kidogo.

Angalia sukari ya Malawi, Brazil, Thailand ni rahisi kuliko ya Tanzania. Why..Mfumo wa kodi ni mbovu

Burundi na Rwanda kuagiza gari ni rahisi zaidi kuliko Tanzania, wakati magari yao yanapita bandari ya Dar es salaam.

Pia ukiangalia Ngome za CCM Chalinze, Morogoro Dodoma, Shinyanga, .., nyumba za tembe ni nyingi...Gharama za ujenzi ni kubwa mno. Cementi ni ghali sana... Hakuna sababu cementi kuwa ghali sana. Maana ni mali ghafi ya hapa hapa nchini...Mfano, Mtu akiagiza Cementi Pakistani, anakuja kuuza bei chini kuliko Simba au Twiga Cementi. Bado cement ya nje kuna usafirishaji, kodi ya taifa lao na VAT ya Tanzania. Kama alivyosema Mh. Tundu Lisu, kuna tatizo TRA....
 
Nanukuu "uchaguzi wa mwaka huu ni muhimu kuliko mwingine wowote tangu tupate Uhuru" unaweza kuja na mabadiliko makubwa ya kimfumo akibaki tutarajie mabadiliko makubwa sana na akiondoka/ondoshwa pia tutarajie mabadiliko makubwa, chaguo ni letu kuchagua aina ya mabadiliko "makubwa ya kimfumo"
 
Kutokana na hali ya uchumi ilivyo, sitarajii CCM warudie kosa kumrudisha Dr. Mpango kuendelea kuwa Waziri wa Fedha tena, lakini hata wizara yote inahitaji mabadiliko, tujifunze kutafuta na kupata watu wenye majibu ya changamoto zinazotukabili, kuwa Profesa wa uchumi siyo lazima una uwezo na ujuzi kutatua matatizo ya uchumi yanapotokea..viwango vya kodi Tanzania viko juu sana, wakati idadi ya walipa kodi ni ndogo..sekta isiyo rasmi ni kubwa sana na wizara ya fedha hawana majibu ya kurasimisha sekta isiyo rasmi ili nayo ilipe kodi..kama hawawezi kutatua changamoto hizi wako hapo wizarani kufanya nini?? tuajiri watu kwa performance siyo vyeti..
 
Kutokana na hali ya uchumi ilivyo, sitarajii CCM warudie kosa kumrudisha Dr. Mpango kuendelea kuwa Waziri wa Fedha tena, lakini hata wizara yote inahitaji mabadiliko, tujifunze kutafuta na kupata watu wenye majibu ya changamoto zinazotukabili, kuwa Profesa wa uchumi siyo lazima una uwezo na ujuzi kutatua matatizo ya uchumi yanapotokea..viwango vya kodi Tanzania viko juu sana, wakati idadi ya walipa kodi ni ndogo..sekta isiyo rasmi ni kubwa sana na wizara ya fedha hawana majibu ya kurasimisha sekta isiyo rasmi ili nayo ilipe kodi..kama hawawezi kutatua changamoto hizi wako hapo wizarani kufanya nini?? tuajiri watu kwa performance siyo vyeti..
Shida waziri au shida sera na maamuzi kutoka juu? Mbona waziri mwenyewe kashawahi kulalamika. Tatizo linajulikana liko wapi, ni pale juu kabisa
 
Shida waziri au shida sera na maamuzi kutoka juu? Mbona waziri mwenyewe kashawahi kulalamika. Tatizo linajulikana liko wapi, ni pale juu kabisa
Hapana! mwenye kupendekeza sera zibadilike ni nani? Lini ulimuona waziri wa fedha analalamika, na analalamika juu ya nini? ili viwango vya kodi vipungue ama ni kuongeza idadi ya walipa kodi au thamani ya shughuli za kiuchumi iongezeke..Mpango hajawahi toka ateuliwe kuongea na watanzania juu ya mambo mbali mbali ya wizara yake licha ya lawama nyingi za watanzania kuwa pesa hakuna na maisha ni magumu..si wajibu wa Rais kutoa maelezo kwa nini pesa ni ngumu kupatikana sasa hivi, au kwa nini tatizo la ajira ni kubwa sana kwa sasa..haya ni maswali kwa waziri wa fedha kujibu!
 
Halafu mbaya zaidi chadema wanatupitishia bakuri tuwachangie
 
Kama maisha na bei zingesimama hata wewe leo hii usingekuwa na huo umri..

Kuna mwanamuziki aliwahi kuimba kuwa wakati wa ujana wangu mimi baba yenu shati shilingi moja dukani unapata..kwa hivi sasa shilingi moja hata soda hupati.

Laumu pia kwa nini leo hii shati hupati kwa shilingi moja wakati pamba ipo bwerere na viwanda vya nguo vipo bwerere.
 
Nanukuu "uchaguzi wa mwaka huu ni muhimu kuliko mwingine wowote tangu tupate Uhuru" unaweza kuja na mabadiliko makubwa ya kimfumo akibaki tutarajie mabadiliko makubwa sana na akiondoka/ondoshwa pia tutarajie mabadiliko makubwa, chaguo ni letu kuchagua aina ya mabadiliko "makubwa ya kimfumo"
Hizo ni kauli za wanasiasa kila siku..hata 2015 mbowe alizungumza sana hayo.
 
MPadmire labda ningejua tu Kwanza ni kwanini umenitaja katika huu 'Uzi' wako naweza sasa kuwa tayari Kuchangia kwani umeshanichanganya pia.
 
Kwa taarifa yako ngome za ccm kote nchini ina umasikini wa kutisha. Mtu ukiweza kuwaa khanga na t shirt ikiongeza na kofia walahi hukosi kura. Nguo za kutokea hawana sasa watamudu kweli sukari
 
Ndugu zetu hawajali kuhusu sisi. Wanaangalia ni jinsi gani wataendelea kuwa madarakani.
 
MUDA MCHACHE MAMBO NI MENGI AKIMALIZA MIAKA MITANO ATAOMBA MINGINE

Ndio siri yake ya kuanzisha mirada inayochukua muda mrefu kumalizika iwe ndio sababu ya kubadili katika ili aongezewe muda wa kutawala na kumalizia Nyerere Dam na Standard Gauge Railway!!! Wadanganyika msikubali kwani hiyo miradi anatoa fedha toka mfukoni mwake; huyo atakayembadili atatumia kodi hizo hizo kumalizia hiyo miradi!!!
 
Wakati Magufuli anaingia madarakani sukari ilikuwa kati ya 800 na 1200 Kwa Kilo Moja. Mwaka 2016, Magufuli akaingilia Biashara ya sukari na sukari ikapanda hadi 2400.

Mwaka 2016 Magufuli alisema Matajiri wataishi kama Mashetani...alidhamiria watanzania wakose pesa, na hakusema masikini wataishi kama malaika
. Akafanya matendo makuu ya bomoa bomoa kimara bila fidia, akapora fedha za wafanyabishara za Bureu De Change, maelfu ya wafanyakazi wakakosa ajira. Mpaka leo Magufuli hajatoa riporti kwa umma kuwa ni pesa kiasi gani alichukua?

Mwaka 2019, Magufuli akaingilia tena na Sukari ikapanda, sasa sukari ni 2600 hadi 2800 Tshs

Molemo Sky Eclat Erythrocyte GENTAMYCINE

Ukiangalia mikoa Pwani, Kibaha, Chalinze, etc...Sukari ni muhimu na kipato ni kidogo.

Angalia sukari ya Malawi, Brazil, Thailand ni rahisi kuliko ya Tanzania. Why..Mfumo wa kodi ni mbovu

Burundi na Rwanda kuagiza gari ni rahisi zaidi kuliko Tanzania, wakati magari yao yanapita bandari ya Dar es salaam.

Pia ukiangalia Ngome za CCM Chalinze, Morogoro Dodoma, Shinyanga, .., nyumba za tembe ni nyingi...Gharama za ujenzi ni kubwa mno. Cementi ni ghali sana... Hakuna sababu cementi kuwa ghali sana. Maana ni mali ghafi ya hapa hapa nchini...Mfano, Mtu akiagiza Cementi Pakistani, anakuja kuuza bei chini kuliko Simba au Twiga Cementi. Bado cement ya nje kuna usafirishaji, kodi ya taifa lao na VAT ya Tanzania. Kama alivyosema Mh. Tundu Lisu, kuna tatizo TRA....
tumkatae magufuli
 
Wakati Magufuli anaingia madarakani sukari ilikuwa kati ya 800 na 1200 Kwa Kilo Moja. Mwaka 2016, Magufuli akaingilia Biashara ya sukari na sukari ikapanda hadi 2400.

Mwaka 2016 Magufuli alisema Matajiri wataishi kama Mashetani...alidhamiria watanzania wakose pesa, na hakusema masikini wataishi kama malaika
. Akafanya matendo makuu ya bomoa bomoa kimara bila fidia, akapora fedha za wafanyabishara za Bureu De Change, maelfu ya wafanyakazi wakakosa ajira. Mpaka leo Magufuli hajatoa riporti kwa umma kuwa ni pesa kiasi gani alichukua?

Mwaka 2019, Magufuli akaingilia tena na Sukari ikapanda, sasa sukari ni 2600 hadi 2800 Tshs

Molemo Sky Eclat Erythrocyte GENTAMYCINE

Ukiangalia mikoa Pwani, Kibaha, Chalinze, etc...Sukari ni muhimu na kipato ni kidogo.

Angalia sukari ya Malawi, Brazil, Thailand ni rahisi kuliko ya Tanzania. Why..Mfumo wa kodi ni mbovu

Burundi na Rwanda kuagiza gari ni rahisi zaidi kuliko Tanzania, wakati magari yao yanapita bandari ya Dar es salaam.

Pia ukiangalia Ngome za CCM Chalinze, Morogoro Dodoma, Shinyanga, .., nyumba za tembe ni nyingi...Gharama za ujenzi ni kubwa mno. Cementi ni ghali sana... Hakuna sababu cementi kuwa ghali sana. Maana ni mali ghafi ya hapa hapa nchini...Mfano, Mtu akiagiza Cementi Pakistani, anakuja kuuza bei chini kuliko Simba au Twiga Cementi. Bado cement ya nje kuna usafirishaji, kodi ya taifa lao na VAT ya Tanzania. Kama alivyosema Mh. Tundu Lisu, kuna tatizo TRA....
Kumbuka ahadi ifuatayo tunajenga bwawa LA umeme ili uzalishaji uwe chini ili gharama ipungue,kwa sasa utalaumu bule kwa sababu hakuna namna kodi inaitajika na umeme unaitajika,hivyo umeme unaweza ukaleta unafuu.
 
Wakati Magufuli anaingia madarakani sukari ilikuwa kati ya 800 na 1200 Kwa Kilo Moja. Mwaka 2016, Magufuli akaingilia Biashara ya sukari na sukari ikapanda hadi 2400.

Mwaka 2016 Magufuli alisema Matajiri wataishi kama Mashetani...alidhamiria watanzania wakose pesa, na hakusema masikini wataishi kama malaika
. Akafanya matendo makuu ya bomoa bomoa kimara bila fidia, akapora fedha za wafanyabishara za Bureu De Change, maelfu ya wafanyakazi wakakosa ajira. Mpaka leo Magufuli hajatoa riporti kwa umma kuwa ni pesa kiasi gani alichukua?

Mwaka 2019, Magufuli akaingilia tena na Sukari ikapanda, sasa sukari ni 2600 hadi 2800 Tshs

Molemo Sky Eclat Erythrocyte GENTAMYCINE

Ukiangalia mikoa Pwani, Kibaha, Chalinze, etc...Sukari ni muhimu na kipato ni kidogo.

Angalia sukari ya Malawi, Brazil, Thailand ni rahisi kuliko ya Tanzania. Why..Mfumo wa kodi ni mbovu

Burundi na Rwanda kuagiza gari ni rahisi zaidi kuliko Tanzania, wakati magari yao yanapita bandari ya Dar es salaam.

Pia ukiangalia Ngome za CCM Chalinze, Morogoro Dodoma, Shinyanga, .., nyumba za tembe ni nyingi...Gharama za ujenzi ni kubwa mno. Cementi ni ghali sana... Hakuna sababu cementi kuwa ghali sana. Maana ni mali ghafi ya hapa hapa nchini...Mfano, Mtu akiagiza Cementi Pakistani, anakuja kuuza bei chini kuliko Simba au Twiga Cementi. Bado cement ya nje kuna usafirishaji, kodi ya taifa lao na VAT ya Tanzania. Kama alivyosema Mh. Tundu Lisu, kuna tatizo TRA....

Tafuta kitabu "how ccm underdeveloping tanzania" kimeyaeleza yote." Ukifuta umasikini umeiuwa ccm.
 
Kumbuka ahadi ifuatayo tunajenga bwawa LA umeme ili uzalishaji uwe chini ili gharama ipungue,kwa sasa utalaumu bule kwa sababu hakuna namna kodi inaitajika na umeme unaitajika,hivyo umeme unaweza ukaleta unafuu.
Palikuwa Hakuna haja ya kujenga bwawa jipya Bali tungeyaboresha ya zamani kwa kuondoa michanga na matope kwa kufunga generator za kisasa maji kidogo umeme mwingi.
 
Back
Top Bottom