Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

vipi na pale lambo jamani uelekeo wa manzese kulikua na huduma pale saizi sijui imekata mana walikuwepo malaya wa kutosha
 
Weka photo mkuu, ila cku hizi ipo level ingine kuna duka pale jirani unaenda unakuta picha na namba unatwangiwa unaongea nae unaenda kwara simpo laiki zat mkuu

Saivi wapo kisigital zaidi wamejaa instagram na badoo, wa instagram ndo wanachekesha majina yao mara tigo mnato, tigo kashata, nivue chupi baby .Hapo unajiongeza tu mwenyewe Dm. Hata facebook pia wapo
 
Saivi wapo kisigital zaidi wamejaa instagram na badoo, wa instagram ndo wanachekesha majina yao mara tigo mnato, tigo kashata, nivue chupi baby .Hapo unajiongeza tu mwenyewe Dm. Hata facebook pia wapo
Humu JF je??
 
Afadhari kazi shatani zianguke na kazi ya Mungu itasonga mbele zaidi, asa hiv waliokuwa wateja pale bila shaka baadhi yao sasa wadau was fursana, MO passion mo portero nk ..
 
Back
Top Bottom