Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

Kumbe wengi wenu mlikuwa mnatombea hela zetu za wizi kwenye makontena banadarini, kodi, semina na safari za nje ya nchi. Looh kumbe ndo maana uchumi uchumi wa nchi ulikuwa unadoda tu hakukuwa na uzalishaji wa maana, Magufuli atarudisha kila kitu kwenye mstari.
Bro pole, naona una hasira kweli na hawa mafirauni
 
Mi nataka tuu hii biashara ihalalishwe kwa kweli ina tusaidia sana
 
Kitu online matangazo live live profile pich Za uchi live....ukibisha pm nakupa namba live zawatsap na utaona...ukituma pesa tu mnaelewana....angalizo mi hayo mambo sifanyi usije fanya kwa kudhani nilifanya..at your own risk
 
Kitu online matangazo live live profile pich Za uchi live....ukibisha pm nakupa namba live zawatsap na utaona...ukituma pesa tu mnaelewana....angalizo mi hayo mambo sifanyi usije fanya kwa kudhani nilifanya..at your own risk
Eb ni pm na mimi bhana at my own risk
 
Sasa na nyie mnaowafuatilia 'Wajasilia-Uchi',
Ninyi ni Wateja-waaminifu au Watafiti msio rasmi sielewi na mnanipa mashaka.
Haha mkuu dalalitz hawa wafuatiliaji wa WAJASILIAUCHI watakuwa masponsor. Maana naona sasa wanahama nao kwenda digital
 
Ndio maana sikuhiz naona kila kona wadada wanasafirshwa na bodaboda,,,,achen kununua papunch jamani turud kwa Sir God
Ngoja nijitahid nioe tu huu uzinifu mpaka lini? Maisha yenyewe mafup
 
Mkuu hapo kwenye bold nina swali, hivi wadada poa wanashughulikiwa au wao ndio wanashughulikia?
Utakachoona ni trip za bodaboda na bajaji zikiwabeba hao warembo mtaa hadi mtaa kwenda kushuhulikiwa. Hela inatumwa via Mpesa,tigopesa ama Airtel money....hakuna haja ya kwenda kupigwa na baridi na kubargain pesa face to face na zaidi kuonekana barabarani.
 
Watu sikuhizi wanatafutana via Smartphones kwa App za Whatsapp...mtu anatuma pics zake au calling na SMS za kawaida wanamalizana.

Utakachoona ni trip za bodaboda na bajaji zikiwabeba hao warembo mtaa hadi mtaa kwenda kushuhulikiwa. Hela inatumwa via Mpesa,tigopesa ama Airtel money....hakuna haja ya kwenda kupigwa na baridi na kubargain pesa face to face na zaidi kuonekana barabarani.
Duuuuh yani tumeadvance kiasi hicho? basi sawa!
 
Umeonyesha uzoefu wa hali ya juu sana mkuu
Mimi sio mnafiki,kama wale wanaokuwa wanafiki kwa binadamu wenzao na kujifichaficha,Wakati Mungu aliye sirini anawaona
Pale huwa tunakutana na wanaume wenye heshima zao,wanaficha nyuso na makoti na kofia,wanaopoa mizigo!!
Ukiwaona wako smart kweli mchana...Lkn usiku tunakutana kusaka papuchi...Sitaki kuwa mnafika kama wao,uliza lolote nikupe uzoefu!!Japo nipo mbioni kustaafu
 
Mimi sio mnafiki,kama wale wanaokuwa wanafiki kwa binadamu wenzao na kujifichaficha,Wakati Mungu aliye sirini anawaona
Pale huwa tunakutana na wanaume wenye heshima zao,wanaficha nyuso na makoti na kofia,wanaopoa mizigo!!
Ukiwaona wako smart kweli mchana...Lkn usiku tunakutana kusaka papuchi...Sitaki kuwa mnafika kama wao,uliza lolote nikupe uzoefu!!Japo nipo mbioni kustaafu
Hehehe kumbe upo mbioni kustafu nilijua ushastafu hahaha hii biashara idumu
 
Back
Top Bottom