Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

buku 25 siku hizi unalamba mtoto kiwango na anakushkuru kweli,na kesho anakuja mwenyewe kwa gharama ya bajaj tu
 
watu walikuwa wanakula bata pasipo na breki kwa awamu hii mtanyoosha maelezo
 
Dhamani ya vipande imepungua kutokana na uchumi kushuka sana.
 
Dah! Ngoja nami nikashangae kidogo hapo corner bar maana...!
 
Kweli hali imekuwa ngumu sana,yale mambo ukienda anajidai "short time elfu 20" chumba unalipia na bajaji buku mbili ili Polisi wasitushitukie haipo tena

Pale ukienda watoto wanakuzunguka kama Siafu juu ya Gogo...Wale wa 30 kwa bao moja sasa unawala mpaka kwa buku teni,nyodo zooote kwisha,maana ikifika saa saba tu wateja hakuna,hawana nauli wala hela ya soup inabidi wagawe hata kwa mali kauli wapate tu hata lift ya kurudi home

Wale ulikuwa ukibeba mzigo mkifika room anavua chini tu,mtindi anaufunika,sasa sie wengine wapenda kulalia 'chakula ya mtoto" inayonesanesa ili upate steam tulikuwa tunapata shida sana,maana ukiomba sidiria iwekwe pembeni utasikia "Niongezee elfu tano"

Sasa maringo hakuna,maana wale ambao ulikuwa ukiwa unapiga mashine ye anaimba au kupiga mluzi,ukimwambia "Lialia kidogo hata kwa wizi wizi nipate munkari nikojoe fasta"..utasikia anajibu kwa nyodo "Kulia na kugunaguna kwa demu wako,hapa chomeka,umwage unyanyuke mi niwahi kichwa kingine".Sasa ndio wanalia na kuguna utasema unatia bikra wa miaka 18...Wamechacha mbayaaaa....Papuchi imekuwa bei rahisi sanaaaaa mamaaaaaaeeee!!!

Kaza Baba Magufuli kazaaaa,kaza huko hazina usiachie babaa...Banaa kila kona mzee banaaa!!Watu mpaka malaya wa Jolly wale Wahindi na Wachina tunawala kwa elfu hamsini ukienda kuanzia saa tisa mpaka unakucha nae saa nne asubuhi ile Guest yetu ya pale mitaa ya kwa Chals Hilary Sinza
..we jamaa kwanini usiitwe Vicheche analyst,..
 
Mbona juz nlikuwa corner bar lakin totoz bado wapo
 
...hawajaadimika wapo tele tu...Sema wamebadili strategy ya kujiuza...maana hawataki kusumbuana na serikali....siku hizi njia kuu wanavyotumia ni kukaa kwenye ma bar kama wateja...na wanajulikana kwa wenye bar..hivyo wateja wao huongea tu na bar maids na kupeana namba...Baada ya hapo ni mwendo wa boda boda na bajaj kwenda kuchapana gesti...hii Nimeona Sana Arusha na Mtwara...
 
Sasa tujenge viwanda tuachane na ukahaba
 
Siku hizi hata bidhaa sokoni hapo ni chache na mbovu ajabu.
 
Yemi Aladde Restaurant 0712 377702. Mobile Restaurant in Dar. Karibuni
 
Back
Top Bottom