Ukata wasambaratisha biashara Kona Baa - Afrika Sana

buku 25 siku hizi unalamba mtoto kiwango na anakushkuru kweli,na kesho anakuja mwenyewe kwa gharama ya bajaj tu
 
watu walikuwa wanakula bata pasipo na breki kwa awamu hii mtanyoosha maelezo
 
Dhamani ya vipande imepungua kutokana na uchumi kushuka sana.
 
Dah! Ngoja nami nikashangae kidogo hapo corner bar maana...!
 
..we jamaa kwanini usiitwe Vicheche analyst,..
 
Mbona juz nlikuwa corner bar lakin totoz bado wapo
 
...hawajaadimika wapo tele tu...Sema wamebadili strategy ya kujiuza...maana hawataki kusumbuana na serikali....siku hizi njia kuu wanavyotumia ni kukaa kwenye ma bar kama wateja...na wanajulikana kwa wenye bar..hivyo wateja wao huongea tu na bar maids na kupeana namba...Baada ya hapo ni mwendo wa boda boda na bajaj kwenda kuchapana gesti...hii Nimeona Sana Arusha na Mtwara...
 
Sasa tujenge viwanda tuachane na ukahaba
 
Siku hizi hata bidhaa sokoni hapo ni chache na mbovu ajabu.
 
Yemi Aladde Restaurant 0712 377702. Mobile Restaurant in Dar. Karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…