Hao wote wanaovuka hapo ni wahalifuHali ya WAKAZI ya Airport ni Mbaya. Mkandarasi wa SGR wameweka uzio wa fensi ya Makali hivyo kuvuka kwenda airport wananchi hawawezi.
Barabara ya juu hawajamaliza lakini hata njia ambazo ndio wananchi wanategenea kuvuka zimefungwa kwa wire.
Ni unyanyasaji na ukandamizaji wa haki za msingi. Serikali imekaa kimya.
View attachment 3016866
View attachment 3016867
Ina maana sasa mradi huu haujaconsider usalama wa wananchi. Miradi inapokuja inapaswa kiboresha welfare ya wananchi na si kukandamiza, Kheri ingeanza Pugu nakuendelea na si mjini kati. Hawakufanya studies za kutosha 🧰Njia Yote ikishakuwa full energised na treni zikawa fully operational hao wakazi watakimbia wenyewe tu hayo maeneo.. Yule JOKA atawagonga sana..
Muhimu wazingatie elimu inayotolewa mtaani kuhusu usalama wao. Yule Joka hana sauti wala kelele... Kuisikia kama ka upepo tu ndio tayari amekufikia... Kuvamia na kupita ndani ya eneo la uzio huo ni kukifuata kifo.
Kulikua na haha Gani kujenga madaraja makubwa ambayo mwisho utatenganisha miji na kujaribu the normal life ya wananchi? Magufuli hakuogopa kupeleka stand ya mabasi mbezi Leo tunaona mbezi ni karibu. Mradi huu Kwa vyovyote vile unaendeshwa Kwa ukandamizaji wa haki za msingi. Airport ni mjini kabisa, Kheri wangetengeza na madaraja kuonganisha na miji ya Tabata sasa Ili wasilazimike kuvuka kivuko Cha Vingunguti tuIna maana sasa mradi huu haujaconsider usalama wa wananchi. Miradi inapokuja inapaswa kiboresha welfare ya wananchi na si kukandamiza, Kheri ingeanza Pugu nakuendelea na si mjini kati. Hawakufanya studies za kutosha 🧰
Ina maana sasa mradi huu haujaconsider usalama wa wananchi. Miradi inapokuja inapaswa kiboresha welfare ya wananchi na si kukandamiza, Kheri ingeanza Pugu nakuendelea na si mjini kati. Hawakufanya studies za kutosha 🧰
Hapo Airport ni kata gani mkuuUsalama umezingatiwa ndio maana njia Yote imesekewa uzio... Na kina madaraja ya kuvukia karibu 6 kuanzia hapo vingunguti.
Watu wote wa maeneo hayo wanapewa elimu kila siku kuhusu mradi huo na hatari zilizopo kiusalama. Sasa hapo wasipoelewa ndio watajifunza kwa njia ngumu... Kwenye hiyo Reli kuna Umeme mkubwa sana... Na ukiiona Treni tu jua tayari chuma zote hapo zina moto wa kutosha.... Sasa hivi wananchi wanavuka vuka tu kama mchezo ila frequency ya train ikiwa kubwa wananchi wenyewe wataikimbia...
Waambieni wanachi wakilazimisha kuvuka reli kwa miguu wataligonga gari moshi.Hali ya WAKAZI ya Airport ni Mbaya. Mkandarasi wa SGR wameweka uzio wa fensi ya Makali hivyo kuvuka kwenda airport wananchi hawawezi.
Barabara ya juu hawajamaliza lakini hata njia ambazo ndio wananchi wanategenea kuvuka zimefungwa kwa wire.
Ni unyanyasaji na ukandamizaji wa haki za msingi. Serikali imekaa kimya.
View attachment 3016866
View attachment 3016867
Hapo Airport ni kata gani mkuu