Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Upo sahii hata wahema na walendu wanaweza kukusaidia kukueleza kwanini hali ipo hivyo kule North Kivu na South Kivu!!!!Usiwasikilize Watusi wa Mulenge peke yakeHao wabangu bangu hatuwasikii Sana kwenye mizozo kama wanyamulenge, wahema na walendu ...
Unamaanisha wahutu walipitia dhahama baada ya RPF kutwaa madaraka huko Rwanda ?....unasemea wahutu waliobakia Rwanda au waliokimbilia huko Drc ?Ushawahi kufika na kuishi Rwanda!!!Kujenga mji mbona hata Habriymana angekua hai angejenga!!!Hapa zinazungumziwa dhaama za serikali ya Kagame kwa Wahutu wa Rwanda hata ambao hawakushiriki genocide (1993-1994) baada ya yeye kuchukua madaraka!!!
BothBeneficially and financier
Kundi analofadhir, kwa ujinga wake anachanganya na askari wake na wanafanya ukatili pale wanapoona wanazuiwa kuchuma for himKuna makundi 120 ya waasi huko Drc, mengine yametoka Uganda (Adf,LRA).. mengine Rwanda (Fdlr)... mengine Burundi (Red Tabare).... mengine ni ya wenyeji wa Drc (maimai n.k)...ila kwanini Kagame pekee atupiwe lawama ?
Moronight walker
Mkuu matatizo ya Kivu mengi yameanza kitambo mno....ila tatizo limekuwa baya zaidi baada ya mauaji ya 1994 huko Rwanda yaliyosababisha maelfu ya wakimbizi wa kihutu kutimkia huko Drc na baadae Vita vilivyoanza toka mwaka 1996....Kuna chanzo kingine zaidi ya hiki ?Upo sahii hata wahema na walendu wanaweza kukusaidia kukueleza kwanini hali ipo hivyo kule North Kivu na South Kivu!!!!Usiwasikilize Watusi wa Mulenge peke yake
Kagame its not evil ila vitendo vya serikali yake kwa Wahutu its evil deed!!!The same kwa Habriymana kwa Watusi those days it was evil deeds tooMimi nachukia uongo! For your information Kagame ameinyanyua Rwanda na Karibuni itakuwa superpower ya EA. Sasa hivi Rwanda imeendelea kuzidi Tanzania. Huwezi kulinganisha Kigali na Kampala ujue. Ila Ukweli ni lazima usemwe.
To me PK au JPM ndiyo marais bora maana kama JPM alitaka kuifanya Tanzania iwe superpower ya EA ujue kwa kuendeleza miundombinu. PK is the best na hivyo kwa kueleza kuwa Kinyambo na kinyarwanda havishabihiani naeleza ukweli, siyo kuwa namchukia Kagame. Na msimamo wangu hapa JF unajulikana kuhusu JPM
Hebu jadili hojaHayo mahangaiko yako!
Hiyo vita ilikuwa waged na Kagame kwa nia ovu ya kuwanagamiza hao wakimbizi wakeMkuu matatizo ya Kivu mengi yameanza kitambo mno....ila tatizo limekuwa baya zaidi baada ya mauaji ya 1994 huko Rwanda yaliyosababisha maelfu ya wakimbizi wa kihutu kutimkia huko Drc na baadae Vita vilivyoanza toka mwaka 1996....Kuna chanzo kingine zaidi ya hiki ?
JokaKuu
Raia wa Congo wanaowatesa wanzao???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????kuwashughulikia hawa raia wa Congo wanaowatesa wenzao imenisikitisha sana.
Kinyambo kinashabihiana na kinyankole, kichiga (upande wa Uganda) hata museveni akiongea ni Mnyambo wanaelewana! Kihaya kinalandana na wala si kushabihiana tu na Kinyambo ila kinyarwanda ni tofauti na Kinyambo. Kagame akiongea Mnyambo haambulii hata neno moja. Achani kudanganya hapo maana hao wapuuzi wawili wazazi wao ni wanyarwanda waliohamia karagwe. Kwa vile mnyarwanda haachi asili, huwa wanafundisha watoto wao kinyarwanda. Hivyo hawa wapuuzi kutokana na kuzaliwa karagwe wanafahamu pia Kinyambo wanadhani kila Mnyambo anajua kinyarwanda.
Kinyarwanda kinashabihiana na kiha, kihangaza, kirundi
kaka hasira za nini tena????Kinyambo kinashabihiana na kinyankole, kichiga (upande wa Uganda) hata museveni akiongea ni Mnyambo wanaelewana! Kihaya kinalandana na wala si kushabihiana tu na Kinyambo ila kinyarwanda ni tofauti na Kinyambo. Kagame akiongea Mnyambo haambulii hata neno moja. Achani kudanganya hapo maana hao wapuuzi wawili wazazi wao ni wanyarwanda waliohamia karagwe. Kwa vile mnyarwanda haachi asili, huwa wanafundisha watoto wao kinyarwanda. Hivyo hawa wapuuzi kutokana na kuzaliwa karagwe wanafahamu pia Kinyambo wanadhani kila Mnyambo anajua kinyarwanda.
Kinyarwanda kinashabihiana na kiha, kihangaza, kirundi.
Wote waliobakia Rwanda na waliokimbilia DRC but wale waliokuja Tanzania at least walisalimika kwa kiasi flani!!!RPF walipochukua madaraka wamelipa sana visasi lakini sio kwa kiwango kile cha genocide ya 1993-1994Unamaanisha wahutu walipitia dhahama baada ya RPF kutwaa madaraka huko Rwanda ?....unasemea wahutu waliobakia Rwanda au waliokimbilia huko Drc ?
zitto junior Moronight walker mtu chake
Kingine chuki tu za kikabila pande zote mbili mkuuMkuu matatizo ya Kivu mengi yameanza kitambo mno....ila tatizo limekuwa baya zaidi baada ya mauaji ya 1994 huko Rwanda yaliyosababisha maelfu ya wakimbizi wa kihutu kutimkia huko Drc na baadae Vita vilivyoanza toka mwaka 1996....Kuna chanzo kingine zaidi ya hiki ?
JokaKuu
Unaelewa maana ya superpower mkuu.Rwanda na Karibuni itakuwa superpower ya EA
Nilimuuliza ushawahi kuishi Rwanda???Unaelewa maana ya superpower mkuu.
KENYA NDIO SUPERPOWER WA EAST AFRICA KAKA .
KENYA IMEIZIDI RWANDA ZAIDI YA MARA KUMI.
KENYA NDIO SUPER POWER MKUU USICHANGANYE..
KIGALI UWEZI FANANISHA NA JIJI LA KINSHASA AU NAIROBI.
TOFAUTI YA KIGALI NA MIJI MINGINE KAMA DAR ES SALAAM NI USAFI TUU.
MIJI MINGINE NI UCHAFU KWENDA MBELE.
ILA KIGALI SEHEMU KUBWA NI KUSAFI THAT IS TRUE.
HUWEZI FANANISHA NA KINSHASA JIJI LENYE WATU MILLION 15. NA KIGALI JIJI LENYE WATU 1.3MILLION.
NAIROBI KUNA WATU ZAIDI YA 5 MILLION.
MK254
MSAIDIE KUHUSU RWANDA KUJA KUIKUTA KENYA ITAKUWA LINI.
MAANA KENYA GDP NI ZAIDI YA $ BILLION 111 NA RWANDA NI 11 BILLION $.
- KENYA IPO JUU EAST AFRICA KAKA.
ITS TRU KIGALI NI KUSAFI SANA NA WAMEFANIKIWA KUTENGENEZA MITARO VIZURI KUWEKA PAVING NJIIANI. NA MAUA MENGI SANA YENYE RANGI TOFAUTI TOFUATI. NI MJI WENYE MVUTO KWA MUONEKANO. LAKINI KIHIVYO HUWEZI SEMA NI SUPER POWER .Tunazungumzia evil deeds za kagame unaleta story za Kagame kujenga miji?get serious. Leta indices nyingine; mfano: hapness index kwa wanyarwanda vzvz Kagame regime, tueleze economicaly Kagame anapataje resources za Kujenga Kigali vzvz Kampala. Key issue ni namna ambavyo watu wenye asili ya kitutsi wanachukiwa because of Kagame deeds, jadili hili please
ANATUMIWA RAWAMA COZ VITA VYA 1&2 CONGO YEYE NDO ALIVIANZISHA.Kuna makundi 120 ya waasi huko Drc, mengine yametoka Uganda (Adf,LRA).. mengine Rwanda (Fdlr)... mengine Burundi (Red Tabare).... mengine ni ya wenyeji wa Drc (maimai n.k)...ila kwanini Kagame pekee atupiwe lawama ?
Moronight walker
AAA KUMBE WE NI KWENU KULE , SASA UNACHOJIFANYA UMEKUJA BONGO MIAKA YA NYUMAAsante kaka ila Nadhani hujawahi kukaa Rwanda miaka ya 1992 mpaka 1998 na siasa za Rwanda huzijui!!!!Mimi nipo kule vipindi vyote hivyo vya Hon Habriymana na Afande PC (Hon Paul Kagame)!!!!!Na mapungufu ya serikali zote mbili nimeyashuudia!!!
Kuna wengine wanaitwa wafulilo na wabembeHao wabangu bangu hatuwasikii Sana kwenye mizozo kama wanyamulenge, wahema na walendu ...
Ile HAUKUWA kulipa kisasi , RPA waliuwa wahutu na baadhi ya watutsi hasa wa bagogwe hata kabla ya 1994.Wote waliobakia Rwanda na waliokimbilia DRC but wale waliokuja Tanzania at least walisalimika kwa kiasi flani!!!RPF walipochukua madaraka wamelipa sana visasi lakini sio kwa kiwango kile cha genocide ya 1993-1994
Swali ni nani chanzo cha hizi chuki?Sisi wanadamu ni viumbe wa ajabu sana MUNGU katuumba na akili timamu ya kujitabua lipi jema na lipi ni baya.
DRC ni sehemu iliyotawaliwa na mauaji tangu miaka ya 90 ila mpaka leo hakuna Juhudi zozote za kuzuia mauaji hayo. Hata mwezi uliopita watu waliuawa zaidi ya 100 eneo ya Kishishe na m23.
Sasa kuna mauaji wanaendelea sasa DRC yaliaanza mwaka 2017 mpaka sasa bado wanaendelea.
Ni watu wenye asili ya Tutsi wanaitwa Banyamulenge, wanauawa na kupigwa mpaka HURUMA.
Wacongo wao wanaamini hawa watu ndo chanzo cha matatizo yote huko congo. KINACHOENDELEA ni kuwafukuza na KUMWAMBIA warudi warudi Rwanda na asilimia kubwa ya hao watu wamezaliwa Congo ila walihamia miaka ya nyuma sana DRC kutoka Rwanda na baadhi Burundi.
View attachment 2460037
Huyo ni Doctor kauawa kinyama sana na alikaribia kufunga ndoa mpakani.
View attachment 2460038View attachment 2460039
Na wengine still wanauawa
View attachment 2460040