Ukatili DRC: Genocide against Banyamulenge on progress

Ukatili DRC: Genocide against Banyamulenge on progress

Pengine swali liwe kwa nini yanawatokea wao (Tutsi)?
Ni kwa kua walio fanya mauaji Rwanda 1994 wakalibishwa na DRC walipofika huko wakakuta zile sura walizokua wanaua,wakapenyeza hizo chuki kwa wa congo ubaguzi ukaanzia hapo. makundi yao lama FDLR wakaanza kuwaua kisa ni watusi na ndio chimbuko la M23 ili kujilinda.
 
Ni kwa kua walio fanya mauaji Rwanda 1994 wakalibishwa na DRC walipofika huko wakakuta zile sura walizokua wanaua,wakapenyeza hizo chuki kwa wa congo ubaguzi ukaanzia hapo
Acha UHONGO pro kagame.
Wacongo waliaanza kuwachukia banyamulenge tangu hata mauaji ya kimbali rwanda KUANZIA.
Usianze kudanganya mkuu.
 
ndio chimbuko la M23 ili kujilinda.
Mwaka 1996 kulitoka kulikuwa na kundi la AFDL lilikuwa ni muunganikano kati ya watutsi kutoka rwanda na burundi. Wahima kutoka Uganda. Banyamulenge na askari wa kabila. Lilianzisha vita na kuchukua congo. Mwaka 1998 likaja kundi la RCD na walikuwa watu walewale wa AFDL kosolo kabila na wenzie tuu. Walipigana na Angola na Zimbabwe mapak 2003. Baada ya hao likaja kundi lingine CNDP chino ya nkunda. Likafa hilo. Baadae likaja m23.
M23 sultan makenge alikuwepo kwenye hayo makundi yote ,
M23 ni wale wale WALIOANzia AFDL.
 
Back
Top Bottom