Wazee mie nitakuwa different kidogo maana yamenitokea haya mambo 2009 nilipokuwa likizo homeland Bongo,jamani nilikuwa na gf wangu niko beach huko Kigamboni,tukiwa tumekaa jioni hivi kigiza kikianza walitokea jamaa 6 hivi wakawa poa tu ila mie nilishtukia deal nikamwambia bibie tuondoke ghafla walitoa visu na mapanga utadhani mie na mihela sana,wakanisearch kila mahali hadi walitaka kumbaka msichana wa watu,thank God nilikuwa ngangari ingawa walinijeruhi sana,Shukru mungu nilimpiga mmoja mwenye panga so nikalichukua wakakimbia zao ila walipora kila kitu...we acha tu...nikiona walahi ndo kwanza nanunua mafuta ya taa wachome kabisa.