Je wewe huwa hufanyi makosa? au wewe ni mtakatifu na je huyu kibaka sijui mwizi dhambi zake ndo KUBWA sana mpaka tusitishe maisha yake?
kweli kabisa mie nina uchungu nao walinirudisha nyuma sana hawa jamaa waliniibia gari langu mwenyewe nimekopa nikawa nakatwa hela huku gari limeshaibiwa mpaka leo nina hasira na vibaka/wezi/majambazi nikiona anapigwa uwa nashangilia kama naangalia mpira vile na siku wakijichanganya wakaja nyumbani kwangu nikawastukia lazima nimpe mtu shaba ya kichwaMaovu yote makubwa yalianza na mambo madogo kama hayo ya kukwapua simu... kama kuna lolote ambalo jamii inaamini inaweza kuwa dawa basi lifanyike hata hilo la kuwanyang,anya viroho vyao...hata wao wakikuwahi wanakuua hao!!!
Jamani wewe unapopita mahali ukakuta watu wanampiga kibaka aliyekwapua simu wanamfanyia ukatil huu wewekama mwa JF unafanya nini??
Jamani wewe unapopita mahali ukakuta watu wanampiga kibaka aliyekwapua simu wanamfanyia ukatil huu wewekama mwa JF unafanya nini??
Nikiona jiwe karibu naongezea ili asiamuke kabisa. Washenzi sana hawa
Naomba hili liwe FUNDISHO kwa JK Aache kuwalinda MAFISADI, kwani iko siku tutawafikia. Na mikono Mikono ya Raia Kutoa Judgment Zaidi ya hii.Jamani wewe unapopita mahali ukakuta watu wanampiga kibaka aliyekwapua simu wanamfanyia ukatil huu wewekama mwa JF unafanya nini??
The Following User Says Thank You to NATA For This Useful Post:Wawapige miguu wasiwaue jamani....!
Nikiona jiwe karibu naongezea ili asiamuke kabisa. Washenzi sana hawa
lkn akikuwahi wewe anakumaliza ujue!!!huu ni ujinga na kutostaarabika
jamii ilioendelea inajua thamani ya uhai na ina heshimu haki ya kuishi
tujitahidini kuelemisha watu wetu kuhusu thamani ya uhai na kufata sheria
kila kosa lina adhabu yake lkn sio kifo
jamni, muda mwingine hayahusiana na siasa kabisa, vijana wamejichagulia fungu lao hilo na hawataki kabisa kijishughulisha wala kutumia akili, nina mfano hai kabisa wa jamaa yangu wa karibu ambaye kwao hajakosa kitu chochote, lkn shule alikataa kusoma na maisha alojichagulia ndo kama hayo na anagroup yake ya vijana kama 10 ambao nao kwao hela ya kubadili mboga sio tatizo, mng to evening wanacheza kamari bangi kwa sana, mavazi yao ni vibukta most of the tym, ukikatiza karibu yao imekulaje kwako!?Washenzi hawa, hamna lolote zaidi ya kuonea Wanyonge.
Kama mna ubavu si mkamtwange Rostam Azziz au Lowassa?
Kuna mama Mkapa pale anadunda na Wahindi kibao wakiwa na pesa za EPA.
Mramba na kundi lake wapo tu. Chenge ndiyo kwanza anagonga dada zenu na mnamchekea.
Mnakuja kupiga mawe Kibaka aliyelala njaa jana. Hamna maana kabisa. Si usiku mtoke mpambane na Majambazi?
Au mkisikia cha moto Mnazifyata? Kunguru Dume nyie.......
Si ajabu kama si akina Lowassa na CCM kumpe njaa kijana, asingeliiba. Mnaadhibu siye. Mnakata Majani na si Mzizi.
Jamani wewe unapopita mahali ukakuta watu wanampiga kibaka aliyekwapua simu wanamfanyia ukatil huu wewekama mwa JF unafanya nini??
Inanifikirisha kwamba wanaofanya haya ni wakatili kuliko watu wa agano la kale ambao dira yao ilikuwa "jino kwa jino" Kuibwa simu kulipizwa kwa kuua!