Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Za mchana wana JF.
Natumaini mu wazima wa afya.
Leo nataka kuongelea ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu ni wakutisha sana. Historia ya ukatili huo imefichwa watu wachache wanaoujua ukweli wamezeeka sasa. Historia hii inapotea.
Wajerumani kuua watawala
Wajerumani waliwachinja watawala wengi sana hapa nchini wachache wameelezwa katika historia.
Kulikuwa na uchinjwaji wa viongozi wengi sana. Kwa sababu teknojia sasa imekuwa tunaweza kufuatilia maeneo ya Morogoro huko mahenge viongozi wengi sana walizikwa kwenye shimo la pamoja.
Tunajua hata huko ulaya hawa wajerumani walileta balaa kubwa mno. Waliwachinja wayahudi wengi mno. Historia ya kuwachinja waTanzania imepotezwa.
Gustav Adolf von Götzen Huyu jamaa aliongoza kikundi cha uharamia kuua ndugu zetu aliweza kuwachinja watu wengi sana huko Songea.
Friedrich Wilhelm von Lindeiner huyu naye alikuwa mmoja wa wanajeshi wa Hitler, kabla ya hapo alikuwepo nchini kwetu. Kwa namna walivyowafanyia wayahudi huko ulaya ndivyo walivyofanya hapa nchini. Watawala wengi walichinjwa na kufukiwa kwenye mashimo ya pamoja hapa nchini.
Naomba tufuatilie kwa kina maeneo haya kwenye ramani hii:-
Emil von Zelewski
Huyu naye aliweza kuteka mpaka huko ujii lakini alikuja kukwaa kisiki Mkwawa na aliuawa huko Lugalo.
Friedrich von Schele
Huyu Mjerumani aliwachinja watu wa kilimanjaro, Arusha na mikoa ya jirani. Huyu ndiye alifanya mipango ya kumuua Mkwawa.
Kuna maelezo yanasema:
von Schele was awarded the Pour le Mérite, the highest order of merit in the Imperial German army, on 20 November, 1894 for his successful suppression of the Hehe.
Hermann Wissmann
Huyu ndiye aliyesababisha jwangwa huko Dodoma. Dodoma haikuwa hivyo na aliwafyeka wagogo wengi sana. Vilevile huyu jamaa kazi yake alikuwa mapewa kusimamia Eastern Congo. Huyu jamaa alikuwa ni mtalaamu wa kuko wapiganaji (Wissmann hired a mercenary force of mostly Sudanese soldiers)
Nitaendelea kuwaonesha namna Wajerumani walivyowachinja waTanzania.
NB: Hata vita visivyoisha huko mashariki ya congo kuna mkono wa Mjerumani.
Natumaini mu wazima wa afya.
Leo nataka kuongelea ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu ni wakutisha sana. Historia ya ukatili huo imefichwa watu wachache wanaoujua ukweli wamezeeka sasa. Historia hii inapotea.
Wajerumani kuua watawala
Wajerumani waliwachinja watawala wengi sana hapa nchini wachache wameelezwa katika historia.
Kulikuwa na uchinjwaji wa viongozi wengi sana. Kwa sababu teknojia sasa imekuwa tunaweza kufuatilia maeneo ya Morogoro huko mahenge viongozi wengi sana walizikwa kwenye shimo la pamoja.
Tunajua hata huko ulaya hawa wajerumani walileta balaa kubwa mno. Waliwachinja wayahudi wengi mno. Historia ya kuwachinja waTanzania imepotezwa.
Gustav Adolf von Götzen Huyu jamaa aliongoza kikundi cha uharamia kuua ndugu zetu aliweza kuwachinja watu wengi sana huko Songea.
Friedrich Wilhelm von Lindeiner huyu naye alikuwa mmoja wa wanajeshi wa Hitler, kabla ya hapo alikuwepo nchini kwetu. Kwa namna walivyowafanyia wayahudi huko ulaya ndivyo walivyofanya hapa nchini. Watawala wengi walichinjwa na kufukiwa kwenye mashimo ya pamoja hapa nchini.
Naomba tufuatilie kwa kina maeneo haya kwenye ramani hii:-
Emil von Zelewski
Huyu naye aliweza kuteka mpaka huko ujii lakini alikuja kukwaa kisiki Mkwawa na aliuawa huko Lugalo.
Friedrich von Schele
Huyu Mjerumani aliwachinja watu wa kilimanjaro, Arusha na mikoa ya jirani. Huyu ndiye alifanya mipango ya kumuua Mkwawa.
Kuna maelezo yanasema:
von Schele was awarded the Pour le Mérite, the highest order of merit in the Imperial German army, on 20 November, 1894 for his successful suppression of the Hehe.
Hermann Wissmann
Huyu ndiye aliyesababisha jwangwa huko Dodoma. Dodoma haikuwa hivyo na aliwafyeka wagogo wengi sana. Vilevile huyu jamaa kazi yake alikuwa mapewa kusimamia Eastern Congo. Huyu jamaa alikuwa ni mtalaamu wa kuko wapiganaji (Wissmann hired a mercenary force of mostly Sudanese soldiers)
Nitaendelea kuwaonesha namna Wajerumani walivyowachinja waTanzania.
NB: Hata vita visivyoisha huko mashariki ya congo kuna mkono wa Mjerumani.