Ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu na Namibia dunia haisemi

Ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu na Namibia dunia haisemi

Mbona mpaka sasa sisi ni watumwa tuliachiwa uhuru tu,
Kama utaki mguse anayekutawala upate Cha mtemakun¡
 
Za mchana wana JF.

Natumaini mu wazima wa afya.

Leo nataka kuongelea ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu ni wakutisha sana. Historia ya ukatili huo imefichwa watu wachache wanaoujua ukweli wamezeeka sasa. Historia hii inapotea.

Wajerumani kuua watawala
Wajerumani waliwachinja watawala wengi sana hapa nchini wachache wameelezwa katika historia.

Kulikuwa na uchinjwaji wa viongozi wengi sana. Kwa sababu teknojia sasa imekuwa tunaweza kufuatilia maeneo ya Morogoro huko mahenge viongozi wengi sana walizikwa kwenye shimo la pamoja.

Tunajua hata huko ulaya hawa wajerumani walileta balaa kubwa mno. Waliwachinja wayahudi wengi mno. Historia ya kuwachinja waTanzania imepotezwa.

Gustav Adolf von Götzen Huyu jamaa aliongoza kikundi cha uharamia kuua ndugu zetu aliweza kuwachinja watu wengi sana huko Songea.


Friedrich Wilhelm von Lindeiner huyu naye alikuwa mmoja wa wanajeshi wa Hitler, kabla ya hapo alikuwepo nchini kwetu. Kwa namna walivyowafanyia wayahudi huko ulaya ndivyo walivyofanya hapa nchini. Watawala wengi walichinjwa na kufukiwa kwenye mashimo ya pamoja hapa nchini.

Naomba tufuatilie kwa kina maeneo haya kwenye ramani hii:-

View attachment 2626364
Emil von Zelewski
Huyu naye aliweza kuteka mpaka huko ujii lakini alikuja kukwaa kisiki Mkwawa na aliuawa huko Lugalo.

Friedrich von Schele
Huyu Mjerumani aliwachinja watu wa kilimanjaro, Arusha na mikoa ya jirani. Huyu ndiye alifanya mipango ya kumuua Mkwawa.

Kuna maelezo yanasema:

von Schele was awarded the Pour le Mérite, the highest order of merit in the Imperial German army, on 20 November, 1894 for his successful suppression of the Hehe.

Hermann Wissmann
Huyu ndiye aliyesababisha jwangwa huko Dodoma. Dodoma haikuwa hivyo na aliwafyeka wagogo wengi sana. Vilevile huyu jamaa kazi yake alikuwa mapewa kusimamia Eastern Congo. Huyu jamaa alikuwa ni mtalaamu wa kuko wapiganaji (Wissmann hired a mercenary force of mostly Sudanese soldiers)

Nitaendelea kuwaonesha namna Wajerumani walivyowachinja waTanzania.
NB: Hata vita visivyoisha huko mashariki ya congo kuna mkono wa Mjerumani.
Babu zetu walizingua,ilikuwaje wauwawe kama kuku wakati wapo home.? kuna uzembe mahali
 
Kati ya wajerumani na tawala zetu wenyewe toka uhuru ni ipi imeua/imetesa zaidi watanzania?
 
Prussia ilikuwa sehemu muhimu ya historia ya Ujerumani. Ilitawala kama ufalme wa Kiprussia na baadaye ikawa moja ya nguzo muhimu katika kuunda Dola ya Ujerumani.

Prussia ilianzishwa kama dola dogo la Kijerumani katika karne ya 15 na lilipanuka na kuwa nguvu kubwa katika eneo hilo. Chini ya uongozi wa familia ya Hohenzollern, Prussia iliongeza ardhi yake na nguvu zake kupitia vita na kuchukua udhibiti wa maeneo mengine ya Ujerumani. Wakati wa enzi ya Mfalme Frederick II, aliyejulikana kama "Frederick Mkuu," Prussia ilipata sifa kama moja ya majimbo yenye nguvu zaidi katika eneo hilo.

Katika karne ya 19, Prussia ilicheza jukumu muhimu katika kuunda Dola ya Ujerumani. Chini ya uongozi wa Kansela Otto von Bismarck, Prussia ilipanua mamlaka yake na kujenga muungano wa majimbo mengine ya Kijerumani. Baada ya vita vya Ufaransa-Prussia vya 1870-1871, Dola ya Ujerumani ilianzishwa mwaka 1871, na Prussia ikawa msingi wake mkuu.

Baada ya kuundwa kwa Dola ya Ujerumani, Prussia ilikuwa jimbo kuu ndani ya dola hiyo na mfalme wa Prussia alikuwa pia kaisari wa Ujerumani. Jina rasmi la dola hiyo lilikuwa "Dola ya Ujerumani," lakini mara nyingi huitwa "Dola ya Kiprussia" au "Dola la Kiprussia la Ujerumani" kwa sababu ya umuhimu wa Prussia.

Hivyo, Prussia ilikuwa jimbo muhimu katika historia ya Ujerumani na iliathiri sana mwelekeo wa kisiasa, kiuchumi, na kijamii wa nchi hiyo. Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, Dola ya Ujerumani ilisambaratika, na ufalme wa Kiprussia wa Prussia ukafutwa rasmi mwaka 1918. Lakini athari za Prussia katika historia ya Ujerumani zinaendelea kuwa sehemu muhimu ya urithi wa nchi hiyo.

1684743323158.png
 
Nadhani kule namibia wamekiri kuwa walifanya mauaji ya kimbali kwa jamii za Herero na Nama.

Hao jamaa walikuwa wakatili haijawahi kutokea duniani, yaani hata huko ulaya timbwili walilowafanyia wenzao ilikua balaa tupu.
 
Za mchana wana JF.

Natumaini mu wazima wa afya.

Leo nataka kuongelea ukatili uliofanywa na wajerumani katika nchi yetu ni wakutisha sana. Historia ya ukatili huo imefichwa watu wachache wanaoujua ukweli wamezeeka sasa. Historia hii inapotea.

Wajerumani kuua watawala
Wajerumani waliwachinja watawala wengi sana hapa nchini wachache wameelezwa katika historia.

Kulikuwa na uchinjwaji wa viongozi wengi sana. Kwa sababu teknojia sasa imekuwa tunaweza kufuatilia maeneo ya Morogoro huko mahenge viongozi wengi sana walizikwa kwenye shimo la pamoja.

Tunajua hata huko ulaya hawa wajerumani walileta balaa kubwa mno. Waliwachinja wayahudi wengi mno. Historia ya kuwachinja waTanzania imepotezwa.

Gustav Adolf von Götzen Huyu jamaa aliongoza kikundi cha uharamia kuua ndugu zetu aliweza kuwachinja watu wengi sana huko Songea.


Friedrich Wilhelm von Lindeiner huyu naye alikuwa mmoja wa wanajeshi wa Hitler, kabla ya hapo alikuwepo nchini kwetu. Kwa namna walivyowafanyia wayahudi huko ulaya ndivyo walivyofanya hapa nchini. Watawala wengi walichinjwa na kufukiwa kwenye mashimo ya pamoja hapa nchini.

Naomba tufuatilie kwa kina maeneo haya kwenye ramani hii:-

View attachment 2626364
Emil von Zelewski
Huyu naye aliweza kuteka mpaka huko ujii lakini alikuja kukwaa kisiki Mkwawa na aliuawa huko Lugalo.

Friedrich von Schele
Huyu Mjerumani aliwachinja watu wa kilimanjaro, Arusha na mikoa ya jirani. Huyu ndiye alifanya mipango ya kumuua Mkwawa.

Kuna maelezo yanasema:

von Schele was awarded the Pour le Mérite, the highest order of merit in the Imperial German army, on 20 November, 1894 for his successful suppression of the Hehe.

Hermann Wissmann
Huyu ndiye aliyesababisha jwangwa huko Dodoma. Dodoma haikuwa hivyo na aliwafyeka wagogo wengi sana. Vilevile huyu jamaa kazi yake alikuwa mapewa kusimamia Eastern Congo. Huyu jamaa alikuwa ni mtalaamu wa kuko wapiganaji (Wissmann hired a mercenary force of mostly Sudanese soldiers)

Nitaendelea kuwaonesha namna Wajerumani walivyowachinja waTanzania.
NB: Hata vita visivyoisha huko mashariki ya congo kuna mkono wa Mjerumani.
Na hatudai fidia Wala uwajibikaji wa kutaka Wajerumani watutake radhi tupo tupo tuu kama mazombie
 
Kama kweli tupo serious na hili tungeanza kwanza na wajerumani Weusi wa Chama cha kijani maana hao wameturudisha sana nyuma kimaendeleo.
 
Back
Top Bottom