Ukatili wa kijinsia kwa wanawake dhidi ya wanaume

Ukatili wa kijinsia kwa wanawake dhidi ya wanaume

Bondpost

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2011
Posts
7,019
Reaction score
10,455
Wanabodi nimekutana na hii habari kutoka ITV kiukweli imenifanya nimfikirie sana namna ambayo jamii inazodi kuharibika.

Wanawake wamekuwa wakilaumu wanaume kuwa wanawanyanyasa, sasa huu UKATILI ni wa mwanamke dhidi ya mwanaume.

Kuna mwanamke amemwagia maji ya moto mumewe ambae ni mwalimu huko wilayani Iramba kisa ni wivu wa mapenzi na akachoma Moto nyumba iliyokuwa na mtoto na mdogo wa mumewe.

Dunia tambara bovu
 
WANAHARAKATI KWENYE MAMBO KAMA HAYA WAPO KIMYAAAAAAAAAAAAA

Utasikia huwezi mwanamke alikuwa napitia kupindi gani
Mpaka akaamua kufanya maamuzi hayo

Ila hawa watu walikuja kuharibu dunia au

Hivi na ngombe jike,simba jike,chatu jike.Majike mengine ya wanyama uwaga ni waharibifu jamii km binadamu jike???

Maana sehemu nyingi kumetokea mafarakano sababu ya mwanamke,ofisi utasikia kapenyeza umbeya mara katembea na mfanyakazi na boss wake.Mtu kafukuzwa kazi

Umeoa umemuweka ndani unasikia hapatani wifi zake mara hawataki ndugu zako.

Kawa mpenzi wako mara hawataki marafiki zako.

Tumpa nchi anatusuta

Umeleta mtoto wa kaka yako akae kidogo nyumbani anaanza kumtesa na kuwafundisha watoto wako wasimpende mtoto wa kaka yako wala kucheza nae

Kaenda kanisani mara kavaa kimini anaonyesha mapaja wazi kwenye ibada,Pastor kazamishwa kwenye zinaa

Mtandaoni anatingisha matako hovyo mara anakunywa mirinda nyeusi.

Chuoni katembea na mwanafunzi katembea na lecturer mtoto wa mkulima anapewa SUP km zote pengine alionekana na binti flani.

Umepata mali kaenda kukuloga ufe abaki nazo.

Popote unapomweka mwanamke mafarakano hayaepukiki maharibifu ni lazima yatatokea TU.

Mungu tuhurumie,mzigo huu ni mzito kuubeba.

Binadamu ana mapungufu ila mwanamke mmmmhhhh
 
Utasikia huwezi mwanamke alikuwa napitia kupindi gani
Mpaka akaamua kufanya maamuzi hayo

Ila hawa watu walikuja kuharibu dunia au

Hivi na ngombe jike,simba jike,chatu jike.Majike mengine ya wanyama uwaga ni waharibifu jamii km binadamu jike???

Maana sehemu nyingi kumetokea mafarakano sababu ya mwanamke,ofisi utasikia kapenyeza umbeya mara katembea na mfanyakazi na boss wake.Mtu kafukuzwa kazi

Umeoa umemuweka ndani unasikia hapatani wifi zake mara hawataki ndugu zako.

Kawa mpenzi wako mara hawataki marafiki zako.

Tumpa nchi anatusuta

Umeleta mtoto wa kaka yako akae kidogo nyumbani anaanza kumtesa na kuwafundisha watoto wako wasimpende mtoto wa kaka yako wala kucheza nae

Kaenda kanisani mara kavaa kimini anaonyesha mapaja wazi kwenye ibada,Pastor kazamishwa kwenye zinaa

Mtandaoni anatingisha matako hovyo mara anakunywa mirinda nyeusi.

Chuoni katembea na mwanafunzi katembea na lecturer mtoto wa mkulima anapewa SUP km zote pengine alionekana na binti flani.

Umepata mali kaenda kukuloga ufe abaki nazo.

Popote unapomweka mwanamke mafarakano hayaepukiki maharibifu ni lazima yatatokea TU.

Mungu tuhurumie,mzigo huu ni mzito kuubeba.

Binadamu ana mapungufu ila mwanamke mmmmhhhh
Aiseeh
 
Utasikia huwezi mwanamke alikuwa napitia kupindi gani
Mpaka akaamua kufanya maamuzi hayo

Ila hawa watu walikuja kuharibu dunia au

Hivi na ngombe jike,simba jike,chatu jike.Majike mengine ya wanyama uwaga ni waharibifu jamii km binadamu jike???

Maana sehemu nyingi kumetokea mafarakano sababu ya mwanamke,ofisi utasikia kapenyeza umbeya mara katembea na mfanyakazi na boss wake.Mtu kafukuzwa kazi

Umeoa umemuweka ndani unasikia hapatani wifi zake mara hawataki ndugu zako.

Kawa mpenzi wako mara hawataki marafiki zako.

Tumpa nchi anatusuta

Umeleta mtoto wa kaka yako akae kidogo nyumbani anaanza kumtesa na kuwafundisha watoto wako wasimpende mtoto wa kaka yako wala kucheza nae

Kaenda kanisani mara kavaa kimini anaonyesha mapaja wazi kwenye ibada,Pastor kazamishwa kwenye zinaa

Mtandaoni anatingisha matako hovyo mara anakunywa mirinda nyeusi.

Chuoni katembea na mwanafunzi katembea na lecturer mtoto wa mkulima anapewa SUP km zote pengine alionekana na binti flani.

Umepata mali kaenda kukuloga ufe abaki nazo.

Popote unapomweka mwanamke mafarakano hayaepukiki maharibifu ni lazima yatatokea TU.

Mungu tuhurumie,mzigo huu ni mzito kuubeba.

Binadamu ana mapungufu ila mwanamke mmmmhhhh
Mwamba umeongea kwa jaziba sana sema Ndio ukwel huu tuishinao kwa akili tuhh
 
Back
Top Bottom