Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Na mkuu wa wilaya yupo hapo hapo anadai ni wavamizi
Wabongo bana! hadi raha! yaani hamna jambo jema kwenu! watu wamejenga holela kwa hela za kifisadi,serikali yetu sikivu inawaondoa ki sheria wanagoma! Jeshi la polisi linawajibika kuhakikisha sheria zinafuatwa mna complain! so mnatakaje?! yani wabishi kama****!
Wabongo bana! hadi raha! yaani hamna jambo jema kwenu! watu wamejenga holela kwa hela za kifisadi,serikali yetu sikivu inawaondoa ki sheria wanagoma! Jeshi la polisi linawajibika kuhakikisha sheria zinafuatwa mna complain! so mnatakaje?! yani wabishi kama****!
Wabongo kutokuwa na jema wewe unajisikia rahaa!
njoo na hoja
vizuri acha kulalama kwani hizo nyumba serikali imeamka tu asubuhi na
kukuta zimeota kama uyoga kwa usiku mmoja walikuwa wapi siku zote mpaka
kuja leo na kufanya unyama maanake kwingine huwa naona wanapewa muda
kuchukuwa chao imekuwaje leo wachome mabaki?
kumbuka kuna watu serikalini kazi zao kila siku ni kuongoza watu wapi
wajenge wapi wafanye nini je wako wapi
Mi nakwambia ki ukweli ukiwabana hao walojenga hapo,wengi utakuta vibali vyao vya magumashi! kama ni swala la serikali kuwaona wakijenga au kutowaona haijalishi,kama wangekuwa right mahakama isingeamuru waondolewe!
Mi nakwambia ki ukweli ukiwabana hao walojenga hapo,wengi utakuta vibali vyao vya magumashi! kama ni swala la serikali kuwaona wakijenga au kutowaona haijalishi,kama wangekuwa right mahakama isingeamuru waondolewe!
hakina asikali mwaminifu kama si mwizi basi mla rushwa.Mkuu hapa nadhani unachanganya mada,
Kimsingi ni kweli lengo mahsusi ni kuwaondoa wavamizi wa mashamba, ambao kwakweli naishukuru serikali kwa moyo wa dhati kwa kulifanyia kazi jambo hili!
Yaani ni kama walisha unda jeshi dogo na himaya yao, mtu alipokuwa akisogelea eneo lao anaulizwa maswali na wasipo rizika na majibu wanakupa mkong'oto haswa! Na usilogwe ukasogea na gari, na kama lina namba za serikali ama SU ndo kiama yako imekukuta! KWA KWELI KWA HILI NAIPONGEZA SANA SERIKALI KUKOMESHA UHUNI HUU,
Angalizo:
Kuna askari wasiokuwa waaminifu ambao wametumia mwanya huu kudhulumu mali za wananchi wasio kuwa na hatia. Na pia kumekuwa na tatizo la kubomoa hadi nyumba zisiziko husika. Nawasihi waongeze umakini kwa haya mambo mawili yasiharibu nia njema ya kukomesha uharamia huu.