Ina maana walilipwa in advance posho yote?
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Kwa hiyo katiba itakuwa ya CCM sio ya watanzania hata watakao piga kura za maoni watakuwa wa CCM pia.Chezea chama tawala.Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Kwanini UKAWA wamechukua Posho kisha "wakapita hivi?" kwanini wasingesusia na POSHO? swali liko hapa!
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Ndio hapo nimeshangaaje na kusikitika mwanzoni nilisema hawa wanatumiwa na isitishe wamehongwa sasa kila kukicha wanaona lengo lao halitiimi inabidi waanze plani B. waliyoiandaa ya kuvuruga mchakato mzima wa Katiba.Kwanini UKAWA wamechukua Posho kisha "wakapita hivi?" kwanini wasingesusia na POSHO? swali liko hapa!
Umma gani ambao unazungumzia labda pengine ni umma wa tengeru na kibosho.@Nape Nnauye huna hadhi ya kuwashambilia UKAWA hata siku moja.
hawa UKAWA wanasimamia maslahi ya umma kinyume na wewe unayeendekeza utumwa wa kifkra wa enzi za zidumu fikra za kikwete.
Mh. Nape
naomba nisaidie kujua endapo hawa UKAWA hawatarudi bungeni kabisaa!! je idadi ya waliobaki inatosha kupitisha mchakato wa katiba?. Kuna hii kauli ya Lukuvi, na zile kauli za bungeni (hasa wawakilishi wa CCM) za ubaguzi wa pemba na ugunja, wana mapinduzi na wapinga mapinduzi ya serikali ya zanzibar, hizo unazichukulia vipi?
Ndugu kiongozi, wewe tayari upo huko kwa wananchi, na unaendelea na siasa je unadhani wananchi huko uliko na kwingineko, wanasubiri katiba mpya? na mwamko wao ni sawa na wenzetu wa zanzibar, kwa maana ya kukaa kusubiria katiba? na lini utaenda ugunja na pemba kuimarisha chama kama unavyo enda kigoma, Sumbawanga, n.k
Nisaidie ndugu yangu, mimi hofu yangu ni kwamba, zanzibar na hasa kwa ubaguzi na vitisho waliopewa wapemba wanaweza kupiga kura za hasira, kukataa serikali mbili ambayo BLK litapitisha, wewe kiongozi unategemea kitatokea nini? huoni kama CCM chama ambacho wewe ni kiongozi kitakuwa kimevunja muungano?
Mwisho kabisa, kwanini CCM chama chenye wanachama na wafuasi wengi, wasomi wa kila fani na wazoefu, wenye majina na maarufu, hamkuwa na plan B?, kwa mfano mngeona serikali tatu ni lazima, na tume ya rasimu imeleta mngetumia hiyo plan B, na kujijenga kisaikolojia, kuandaa muundo wa kiutawala, mgawanyo wa madaraka kwa serikali tatu, kisha uvunjaji ukaletwa na wengne? hamuoni hata muundo huo wa serikali tatu ungekuwa kwa faida ya chama?
Nakutakia ujenzi wa chama ulio na ufanisi
SP
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Umma gani ambao unazungumzia labda pengine ni umma wa tengeru na kibosho.
....nape umekua lini kiasi cha kuweza kutofautisha UTOTO na seriouis business. Sijawahi na sitegemei kama kutawahi kutoka jambo la maana toka kwako zaidi ya kupigania maslahi binafsi. kama kweli mnajali maslahi ya nchi mngekuja na hoja na wala si ubaguzi, vitisho, matusi, kejeli na hata kuonyesha dharau ya wazi kwa mawazo yetu wananchi. WEKENI MEZANI HOJA ZENU TUONE KAMA ZINA MASHIKO NA SIO UHUNI UNAOENDELEA SASA. WAKATI WA KURA YA MFUMO WA VYAMA VINGI MLITUTISHA ITAKUJA VITA KAMA YA RWANDA NA BURUNDI, EO IKO WAPI.?CCM ACHENI UTOTO WA KUBAKA DEMOKRASIA KWA HOJA DHAIFU ZA MASLAHI BINAFSI. IPO SIKU MUNGU ATAWAHUKUMU KWA HILO....Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!
Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!