UKAWA acheni utoto!

UKAWA acheni utoto!

Nape kwanini usifuate nyayo za Katibu wako Mkuu. Pamoja na mambo yote ya CCM huyu bwana anahangaika kukijenga chama chake huwezi kumsikia anasema chama cha upinzani. Yeye kazi yake ni kuangalia udhaifu uliopo na kutafuta njia za kuuimarisha. Saa kuwa naye karibu nilidhani angekugaia busara japo kidogo lakini hakuna kitu.
 
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!

Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!

- UKAWA kuwaita watoto ni kuwapa heshima hawa ni mburulazzzz, Lipumba amesoma wapi na ana PhD ya nini hasa? Sio yeye aliyekubali kwamba alimsaidia sana Rais wa sasa kushinda uchaguzi sasa leo eti amekuwa shujaa ni wa nini hasa na huku wote tunajua kuwa CUF ni ya Sefu!!

- Warudishe posho na wasirudi tena bungeni tutakutana nao kwenye uchaguzi 2015, waende na msirudi tena bungeni!!

Le Mutuz System
 
Kwanini UKAWA wamechukua Posho kisha "wakapita hivi?" kwanini wasingesusia na POSHO? swali liko hapa!

Yani bora UKAWA wangepewa hizo pesa zote za vikao kuliko maccm ambayo yanabwabwaja hovyo bungeni huku wakidharau hoja za wananchi. ccm waendelee na kikao chao cha kuandaa katiba ya ccm
 
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!

Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Baba yako ni nani? unauliza vitu vikubwa wakati vya kwako mwenyewe vinakushinda.....nataka leo ututajie baba yako halisi ili Watanzania wamjue, tafadhali usidandie majina ya baba wa wenzio. ukishatutajia then uulize tena swali lako au kutoa maoni yako ambapo naamini utaeleweka kuliko sasa

 
Hiyo posho ndio itakayotumika kuwafikia wananchi wa pande zote za jamhuri.akili ndogo tu ndiyo itakayohoji posho.je walioipokea kwa mipasho tu mbona hamuwaulizi ?
 
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!

Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!

Duh! bonge la mkwara...Napelile naye haishi vituko!
 
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!

Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!

POLE SANA KIJANA

TANGAZO!
Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Chama cha wananchi CUF kikishirikiana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kinawatangazia wanachama, wapenzi na wazanzibari wote wa mikoa mitatu ya Unguja, wazalendo na wapenda nchi yao kwa jumla kuhudhuria kwa wingi katika mkutano mkubwa wa hadhara wa aina yake na wa kihistoria utakaofanyika siku ya Jumamosi ya tarehe 19/04/2014. Mkutano utafanyika katika viwanja vya Kibanda Maiti, Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Maghribi Unguja.
Wageni rasmi katika Mkutano huo ni Mwenyekiti wa CUF na kiongozi wa UKAWA, Prof Ibrahim Haruna Lipumba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, Mh James Mbatia na Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Christopher Mtikila.
Simba wa nyika, tishio la vibaraka wanaoiuza Zanzibar, kipenzi cha wazanzibari, mwenye uzalendo wa hali ya juu na mapenzi makubwa kwa Zanzibar na wazanzibari, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CU, Maalim Seif Sharif Hamad nae atanguruma .
Wapambanaji wengine wanaounda UKAWA, wakiwemo Mh Ismail Jussa, Mh Julius Mtatiro na Mh Tundu Lissu nao watanguruma mkutanoni.
Mkutano utaanza saa 2:00 barabara za asubuhi mpaka saa 12:00 jioni.
Agenda kuu katika Mkutano huo ni je Bunge la Katiba lililogeuzwa na CCM kuwa Bunge la Intarahamwe litafanikiwa kupindisha matakwa ya watanzania ya serikali tatu walioyatoa kwa Tume ya Jaji Warioba? Je watanzania watarajie nini baada ya Mashujaa wapigania Katiba ya wanacnhi kulisusia Bunge La Katiba?
Maswali yote hayo yatapatiwa majibu pamoja na mambo kadhaa muhimu. Hatumwi mototo!
Shime wazanzibari wote kuhudhuria kwa wingi bila ya kukosa!

Tunayo furaha kubwa kuwaarufu nyote kwamba matangazo ya Mkutano huu Mkubwa wa aina yake wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) yatarushwa moja kwa moja kupitia kituo cha radio cha chuchu FM 90.9.
Pia kwa wale walioko nje ya Zanzibar wanaweza kupata matangazo hayo moja kwa moja kupitia live streaming hapa:FreeZanzibarlive on USTREAM: Political events. Politics: Political events. Politics
HAKI NA USAWA WA MUUNGANO, SERIKALI TATU HAZIEPUKIKI!
 
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!

Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!

mlitaka watoke mapema ili hata utungaji wa kanuni muufanye wa hovyo?
 
jibu hoja usilete UKAWA wako hapa..mbona wewe hujahariri uliyoyaandika "jmbo" maana nini mbona unaandika kama umetoka kufumaniwa, tuliza akili usikurupuke kama zombi
au kunya anye kuku akinya bata kaharisha

Ni :embarassed2: la fedheha sana PR wa Chama Tawala kuandika andika vitu bila kuhariri.Unaishia kuandika vitu vya ajabu ajabu.It's very unprofessional!
 
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!

Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!

Sawa ndugu haya waliyoyafanya CCM katika picha hizi ni ya KIKUBWA

nape na baiskeli.jpg Nape Maharage.jpg Nape Matonge.jpg View attachment 152041 View attachment 152042
 
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!

Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!
Inawezekana ukawa wamefanya utoto lakini hili la wajumbe wa ccm kuonesha ubaguzi wa asili ya mtu anakotekea na kuwataja kwa uwazi kabisa imeifanya ccm kuonekana kuwa ni chama cha kibaguzi na kina wagawa watanzania kwa ukabila na asili zao lengo ni devide and rule.
Pia mjumbe wa CA na Waziri mzima bwana lukuvi kuonesha hisia zake za islamphobia , tena akimwakilisha waziri mkuu wa nchi hilo kulilaani sio utoto.
Tunakubali wajumbe wote wakilitumia bunge hili kama Tarabu ya mipasho lakini kitendo cha wajumbe wa ccm kusema wazi kuwa wao hawatatoa nchi hii kwa kipande cha karatasi wakati sote tunaelewa ya kwamba rasimu inayojadiliwa ni ya kiraia na sio ya utawala wa kijeshi hivyo watanzania watajichagulia viongozi wao kwa njia ya kura. Ccm wajumbe wake wamelikataa hilo wanasema hawaondoki na wote wanapiga makofi.
Wapemba na wahindi nao hawakuachiwa kubaguliwa na ccm, inaelekea ccm waliishiwa hoja za msingi za kwanini tundelee na S2 , lililobaki ni kutoa vitisho kwa wapadri na wananchi wakristo juu ya uislam.
Kwa hili Ukawa hawakua watoto bali wameonesha ukomavu kuwa hawako tayari kupitisha katiba isiyokuwa na maslahi ya watanzania bali ccm
Kama ni suala la posho ni vema basi mutaendelea kupata hio posho peke yenu…na munaweza kuligeuza hilo bunge liwe ni kikao cha halmashauri kuu ya ccm….
 
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!

Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!

Huyu siyo Nape Nnauye alieandika..

Nimeanza kusoma naona neno "Yaani" nikajisemea kimya kimya ...."atakua Mke wake"...😉

CCM naona inawauma UKAWA kujitoa..Sasa si ndiyo nafasi yenu?

Tengenezeni mnayotaka sasa...Waliokuwa wanakwamisha,wakorofi sasa hawapo..Mmebaki wazalendo tengenezeni sasa..

Wakirudi? Hapo mlipo mnaombea warudi ila hamjui namna ya kuwarudisha..Mna Mtu kama Lisu? Jusa?..Sana sana Lukuvi kwi kwi 😀
 
Last edited by a moderator:
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto!

Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda barabarani nikawaambia MTATUKUTA BARABARANI. Karibuni sana!! waacheni wanaotaka katiba ya Tanzania waendelee na bunge la katiba. Nawasihi muonyeshe seriousness kwa KUTORUDI TENA BUNGENI. Mkirudi mtakuwa mmeonyesha UTOTO MKUBWA!

Ndugu jambo la kuzungumzia sio mfumo wa serikali... Warejee wazungumzie kero zingine
 
Waziri wa Mawasiliano ambaye ni mgeni rasmi wa kutoa zawadi za stories of change amesema yeye ni member wa Jamii Forums

Amesema tofauti na wengine yeye ana ngozi ngumu ya kustahimili matusi. Na wakati mwingine huwa anayasoma kabla ya kulala.

Possibly Nape anatumia ID ambayo haijulikani so kuweni makini mnapotukana watu.

Nafuatilia youtube

View attachment 2420687
This is true, Nape ni mwenzetu humu, tupo naye kwa ID yake ya nape mnauye, ila pia yupo yupo!.
Mwenye ngozi ngumu ni hapa JF ni Pascal Mayalla wengine ngozi ya u-bwbw
Naomba kuthibitisha ana ngozi ngumu!.
P
 
Back
Top Bottom