maguzu masese
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 283
- 139
Sehemu ya 1 kati ya 5.
10 October 2001, kulifanyika muafaka baina ya CCM na CUF, nakutiwa saini na Philip Japhet Mangula, na Seif Sharif Hamad, na kushuhudiwa na Kingunge Ngombale-Mwiru, Ali Haji Pandu, Mohamed Aboud Moham na Hamad Rashid Mohammed. Mbele ya: Benjamin William Mkapa Ibrahim Haruna Lipumba na Amani Abeid Amani Karume. Moja ya malengo: Kuimarisha mazingira ya maelewano na kuaminiana
Angalia hii orodha, ni ya watu wa aina gani Kirahisi rahisi tu eti leo kweli hawako pamoja, Kingunge ninayemsikia ( nakujifanya namjua), Mkapa ( huyu jamaa tunamchukulia poa sana) Kiukweli tu Lipumba mi hata simzimii kabisa ( kibinadamu sina sababu ya msingi basi tu nimeamua hivyo, nim kama vile Masha mwaka 2010) Kisiasa sioni anachokifanya chenye manufaa kwa taifa hili Zaidi ya asili ya mwanadam selfishness, CV yake ya kuhama madarasa ndio inampa jianbut sio Kiongozi , any way inferiority complex ni kubwa sana miongoni mwa watanzania , Hata mimi niliyemaliza Form IV ya zamani ( kabla ya division 5) nahisi namzidi mbali sana na hata tukifanya mjadala nitamshinda vizuri tu hili halina ubishi.
Hamadi ( inasemekana ) kuwa anahusika na ADC, So to speak, ni kama ilikuja kwa nia ya kuweka upinzani CDM ( hoja Hii nitaitetea). Mbowe umesahau kuwa kipindi frani kadi za CDM zilikuwa zinachapishwa nchi ya Jirani na zinatumika kwa propaganda? Nadhani hadi sasa bado zinaendelea!!
September28,2012 moja ya vichwa vya habari ni CUF yaisaidia CCM kushinda Umeya Mwanza Turufu ya nani anakuwa Meya wa Jiji ilikuwa mikononi mwa CUF ambao walikuwa na wajumbe wawili ndani ya baraza hilo, ambapo ilikuwa wakiamua kuunga mkono upande wowote huo ndio ungeibuka na ushindi katika kinyanganyiro hicho Hatimaye leo Ndg, Mabula ni Meya wa jiji, kwani hata miaka miwili bado haijatimia. Brother hii pia umesahau?
January 4, 2012 Moja ya vichwa vya habari HAMADI RASHIDI AFUKUZWA ( huyu kumbuka alikuwa moja wa shuhuda wa makubaliano) nab ado siri ya makubaliano anayo. Hii ndio sababu imekufanya leo uone CUF ni washkaji ? anyway hii acha tuipotezee kiaina lakini kwani Kwani Mdahalo kati ya Freeman Mbowe na Hamad Rashid ITV kipindi kile ulikuwa na sura gani hasa ama mimi ndio mjinga ( mtu asiyekuwa na uelewa juu ya mambo.) na niliendelea kuwa mjinga kabla na baada ya mdahalo ( Nakumbuka hapa kulikuwa na burudani ya aina yake- Mbowe nilikukubali sana kamanda) Tukiachilia mbali Seif Sharif Hamad na cheo chake baada ya Makubaliano
Juzi tu, hata siku mwaka mmoja haujaisha CUF ilifahamika kama CCM B, wameolewa na CCM etc , ni lini hiyo ndoa ilivunjika ama hiyo herufi B ilifutika? Vipi Kama ilikuwa ni ya kikristo? Kampeni za Mbatia Kawe ilikuwaje kwani? Baadaye si alienda mahakamani ? Na si ndio CCM wamempa pa kujishikiza naye for the mean time? Na huyu si tulikuwa na mashaka naye juzi juzi tu baada ya kupewa ubunge? Na si tulisahau yote baada ya kusanua issue ya Mtaala wa elimu , so does it mean hii tukio moja tu ndio kawa mshkaji eti? Huyu si aliwahi kuwa na jamaa yake enzi zile baadaye ikatokea TLP ambapo Lema alianzia kutokea huko, na ja,maaa mmoja namkubali sana kamanda Alphonce Mawazo pia alianzia huko, Hawa vijana Wawili wakamkimbia Mrema maana alikuwa ni pandikizi na leo hii kazi wanayo ifanya inaonekana, does it mean wewe leo hii unataka MABELE na MBATIA wapige kazi pamoja eti? Je tofati zao za zamani zimeisha eti? Au bado unasimamia ule msemo wa kushusha mioyo ya matumanini ya wapiga kura na kuwafanya waamini kuwa siasa ni mchezo mchafu kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu All in all my point is
Kama mimi ningekuwa WEWE ( kama vipi niachie kwa muda tu), baada ya hili la kujiunga nao kwa sasa baadaye lazima NINGEWAPIGA CHINI, na hata moja ya sababu ambazo zingenifanya niungane nao ni hii ya kwamba niwavutie MWANYA kisha INAKULA KWAO, ( Hapa ndio siasa inakuwaga tamu sana), ningecheza na kufunga Kama Maradona katika mechi ya robo fainali ya kombe la dunia kati ya Argentina na England ,22 June 1986 (One of the most famous goal in football history) na hapa lazima ningejipatia ujiko kinoma maana sasa ningeanza kuwatumikia wananchi ile kwa kwenda mbele kisha nawakumbushia kale ka msemo ketu kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu.YOU SEE
Iko hivi, hawa washkaji UKIZUBAA wanakupiga chini, na kwenye ramani ya siasa ndio inakuwa KWAHERI mimi ninsingekubali ujinga huu, maana CDM ilipofikia kwa sasa, NCCR, CUF hazikuwahi kufikia. Obvious hawa washkaji kuwa na wewe inawezekana ni moja ya strategies za CCM ili baadaye ile kwako. Hata mimi ndio ningekuwa Strategist wa CCM hapa ningecheza hivi na NINGEKUPIGA kirahisi sana ( hapa kuna njia Zaidi yah ii), sema CCM hawezi na pia hawajui maana hii ni mbinu ni advanced sana kwao hivyo sio size yao hao kina lowasa na kinana ni STANDARD LEVEL tu. Nape wala usimhesabu sema tu yuko juu maana hana mpinzani ktk nafasi yake, Mnyika anapwaya hachezi ipasavyo, nadhani ifikie kipindi sasa hii nafasi mpe mtu aliye nje na huru na majukumu ya bunge( I can defend my argument) Nape angekuwa Chadema angekuwa mzuri sana, hii ndio maana ya Siasa za upinzani jaribu kunielewa .
Lazima tukubali kuwa CCM wana watu ambao ni strategies wazuri sana ( Kinana na lowasa) na wengine wengi, sema tu upepo wa wananchi umewakataa na kuegemea kwetu hivyo hii ni nafasi ya pekee kuhakikisha kombe tunabeba, ambapo pia kwa hari ya kawaida tu hata kama mimi ningekuwa Ni Kikwete ama kiongozi wa CCM kukupa nchi kirahisi rahisi tu hivi katika democrasia ya herufi ndogo ni impossible, ningekupa nchi pale tu nikiona kweli umepambana vya kutosha na sina jinsi kunusuru hari ya usalama but kwa sasa kuna jinsi ya kufanya na Nchi lazima tunabeba hii haina ubishi kamanda.
Kama mimi ningekuwa wewe, hawa washkaji ningeungana nao kwa nia ya kudai TANGANYIKA TU, kisha nawatosa, kama wanataka kuungana na mimi basi wavue jezi za vyama vyao, wavae ya kwangu kasha twende sawa, wakivaa jezi yangu tunaungana tunasakata kabumbu safi sasa. Lakini bila hivyo hawa washkaji wakisha saidia kuleta Tanganyika tu tunawafanya maaduni maana hata sasa hivi ni maadui, ukiwaamini utakuwa mjinga, kama washauri wako wanakuogopa kukuambia ( washauri waoga sio wazuri)
Tukubali tu kuwa hii Katiba ya sasa haitakuwa nzuri pamoja na kuwa tumeungana na hawa jamaa, hapa mwanya ni mmoja tu, tudai TANGANYIKA, Kisha tukipata katiba ya kutusaidia kuchukua Nchi, tunakaa chini ( watu wachache tu) haiitaji watu 500, tunafanya katiba ya maana YENYE AKILI ambayo itakufanya TOMAS JEFFERSON wa TANGANYIAKA ( Hapa vipi nimekushawishi?)
Moja kati ya watu ambao huwa nawakubali sana Albanie Marcossy aliwahi kusema kwamba hii nchi ili mambio yaende lazima kujitoa mhanga. Sasa hebu niruhusu mimi sasa nikushauri namna ya kuwashinda hawa ccm, hawa ni wepesi sana , kama ni jumapili unawashinda KABLA YA MISA YA KWANZA msemo mzuri sana nimeunukuu toka kwa Ally Bananga
lakini kwanza acha nijadili na wadau wapenda mabadiliko wenzangu
Karibuni....
'' Dont go into Politics Expecting to be the next Alphonce Mawazo''
- Andrew Nkumbi
10 October 2001, kulifanyika muafaka baina ya CCM na CUF, nakutiwa saini na Philip Japhet Mangula, na Seif Sharif Hamad, na kushuhudiwa na Kingunge Ngombale-Mwiru, Ali Haji Pandu, Mohamed Aboud Moham na Hamad Rashid Mohammed. Mbele ya: Benjamin William Mkapa Ibrahim Haruna Lipumba na Amani Abeid Amani Karume. Moja ya malengo: Kuimarisha mazingira ya maelewano na kuaminiana
Angalia hii orodha, ni ya watu wa aina gani Kirahisi rahisi tu eti leo kweli hawako pamoja, Kingunge ninayemsikia ( nakujifanya namjua), Mkapa ( huyu jamaa tunamchukulia poa sana) Kiukweli tu Lipumba mi hata simzimii kabisa ( kibinadamu sina sababu ya msingi basi tu nimeamua hivyo, nim kama vile Masha mwaka 2010) Kisiasa sioni anachokifanya chenye manufaa kwa taifa hili Zaidi ya asili ya mwanadam selfishness, CV yake ya kuhama madarasa ndio inampa jianbut sio Kiongozi , any way inferiority complex ni kubwa sana miongoni mwa watanzania , Hata mimi niliyemaliza Form IV ya zamani ( kabla ya division 5) nahisi namzidi mbali sana na hata tukifanya mjadala nitamshinda vizuri tu hili halina ubishi.
Hamadi ( inasemekana ) kuwa anahusika na ADC, So to speak, ni kama ilikuja kwa nia ya kuweka upinzani CDM ( hoja Hii nitaitetea). Mbowe umesahau kuwa kipindi frani kadi za CDM zilikuwa zinachapishwa nchi ya Jirani na zinatumika kwa propaganda? Nadhani hadi sasa bado zinaendelea!!
September28,2012 moja ya vichwa vya habari ni CUF yaisaidia CCM kushinda Umeya Mwanza Turufu ya nani anakuwa Meya wa Jiji ilikuwa mikononi mwa CUF ambao walikuwa na wajumbe wawili ndani ya baraza hilo, ambapo ilikuwa wakiamua kuunga mkono upande wowote huo ndio ungeibuka na ushindi katika kinyanganyiro hicho Hatimaye leo Ndg, Mabula ni Meya wa jiji, kwani hata miaka miwili bado haijatimia. Brother hii pia umesahau?
January 4, 2012 Moja ya vichwa vya habari HAMADI RASHIDI AFUKUZWA ( huyu kumbuka alikuwa moja wa shuhuda wa makubaliano) nab ado siri ya makubaliano anayo. Hii ndio sababu imekufanya leo uone CUF ni washkaji ? anyway hii acha tuipotezee kiaina lakini kwani Kwani Mdahalo kati ya Freeman Mbowe na Hamad Rashid ITV kipindi kile ulikuwa na sura gani hasa ama mimi ndio mjinga ( mtu asiyekuwa na uelewa juu ya mambo.) na niliendelea kuwa mjinga kabla na baada ya mdahalo ( Nakumbuka hapa kulikuwa na burudani ya aina yake- Mbowe nilikukubali sana kamanda) Tukiachilia mbali Seif Sharif Hamad na cheo chake baada ya Makubaliano
Juzi tu, hata siku mwaka mmoja haujaisha CUF ilifahamika kama CCM B, wameolewa na CCM etc , ni lini hiyo ndoa ilivunjika ama hiyo herufi B ilifutika? Vipi Kama ilikuwa ni ya kikristo? Kampeni za Mbatia Kawe ilikuwaje kwani? Baadaye si alienda mahakamani ? Na si ndio CCM wamempa pa kujishikiza naye for the mean time? Na huyu si tulikuwa na mashaka naye juzi juzi tu baada ya kupewa ubunge? Na si tulisahau yote baada ya kusanua issue ya Mtaala wa elimu , so does it mean hii tukio moja tu ndio kawa mshkaji eti? Huyu si aliwahi kuwa na jamaa yake enzi zile baadaye ikatokea TLP ambapo Lema alianzia kutokea huko, na ja,maaa mmoja namkubali sana kamanda Alphonce Mawazo pia alianzia huko, Hawa vijana Wawili wakamkimbia Mrema maana alikuwa ni pandikizi na leo hii kazi wanayo ifanya inaonekana, does it mean wewe leo hii unataka MABELE na MBATIA wapige kazi pamoja eti? Je tofati zao za zamani zimeisha eti? Au bado unasimamia ule msemo wa kushusha mioyo ya matumanini ya wapiga kura na kuwafanya waamini kuwa siasa ni mchezo mchafu kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu All in all my point is
Kama mimi ningekuwa WEWE ( kama vipi niachie kwa muda tu), baada ya hili la kujiunga nao kwa sasa baadaye lazima NINGEWAPIGA CHINI, na hata moja ya sababu ambazo zingenifanya niungane nao ni hii ya kwamba niwavutie MWANYA kisha INAKULA KWAO, ( Hapa ndio siasa inakuwaga tamu sana), ningecheza na kufunga Kama Maradona katika mechi ya robo fainali ya kombe la dunia kati ya Argentina na England ,22 June 1986 (One of the most famous goal in football history) na hapa lazima ningejipatia ujiko kinoma maana sasa ningeanza kuwatumikia wananchi ile kwa kwenda mbele kisha nawakumbushia kale ka msemo ketu kwenye siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu.YOU SEE
Iko hivi, hawa washkaji UKIZUBAA wanakupiga chini, na kwenye ramani ya siasa ndio inakuwa KWAHERI mimi ninsingekubali ujinga huu, maana CDM ilipofikia kwa sasa, NCCR, CUF hazikuwahi kufikia. Obvious hawa washkaji kuwa na wewe inawezekana ni moja ya strategies za CCM ili baadaye ile kwako. Hata mimi ndio ningekuwa Strategist wa CCM hapa ningecheza hivi na NINGEKUPIGA kirahisi sana ( hapa kuna njia Zaidi yah ii), sema CCM hawezi na pia hawajui maana hii ni mbinu ni advanced sana kwao hivyo sio size yao hao kina lowasa na kinana ni STANDARD LEVEL tu. Nape wala usimhesabu sema tu yuko juu maana hana mpinzani ktk nafasi yake, Mnyika anapwaya hachezi ipasavyo, nadhani ifikie kipindi sasa hii nafasi mpe mtu aliye nje na huru na majukumu ya bunge( I can defend my argument) Nape angekuwa Chadema angekuwa mzuri sana, hii ndio maana ya Siasa za upinzani jaribu kunielewa .
Lazima tukubali kuwa CCM wana watu ambao ni strategies wazuri sana ( Kinana na lowasa) na wengine wengi, sema tu upepo wa wananchi umewakataa na kuegemea kwetu hivyo hii ni nafasi ya pekee kuhakikisha kombe tunabeba, ambapo pia kwa hari ya kawaida tu hata kama mimi ningekuwa Ni Kikwete ama kiongozi wa CCM kukupa nchi kirahisi rahisi tu hivi katika democrasia ya herufi ndogo ni impossible, ningekupa nchi pale tu nikiona kweli umepambana vya kutosha na sina jinsi kunusuru hari ya usalama but kwa sasa kuna jinsi ya kufanya na Nchi lazima tunabeba hii haina ubishi kamanda.
Kama mimi ningekuwa wewe, hawa washkaji ningeungana nao kwa nia ya kudai TANGANYIKA TU, kisha nawatosa, kama wanataka kuungana na mimi basi wavue jezi za vyama vyao, wavae ya kwangu kasha twende sawa, wakivaa jezi yangu tunaungana tunasakata kabumbu safi sasa. Lakini bila hivyo hawa washkaji wakisha saidia kuleta Tanganyika tu tunawafanya maaduni maana hata sasa hivi ni maadui, ukiwaamini utakuwa mjinga, kama washauri wako wanakuogopa kukuambia ( washauri waoga sio wazuri)
Tukubali tu kuwa hii Katiba ya sasa haitakuwa nzuri pamoja na kuwa tumeungana na hawa jamaa, hapa mwanya ni mmoja tu, tudai TANGANYIKA, Kisha tukipata katiba ya kutusaidia kuchukua Nchi, tunakaa chini ( watu wachache tu) haiitaji watu 500, tunafanya katiba ya maana YENYE AKILI ambayo itakufanya TOMAS JEFFERSON wa TANGANYIAKA ( Hapa vipi nimekushawishi?)
Moja kati ya watu ambao huwa nawakubali sana Albanie Marcossy aliwahi kusema kwamba hii nchi ili mambio yaende lazima kujitoa mhanga. Sasa hebu niruhusu mimi sasa nikushauri namna ya kuwashinda hawa ccm, hawa ni wepesi sana , kama ni jumapili unawashinda KABLA YA MISA YA KWANZA msemo mzuri sana nimeunukuu toka kwa Ally Bananga
lakini kwanza acha nijadili na wadau wapenda mabadiliko wenzangu
Karibuni....
'' Dont go into Politics Expecting to be the next Alphonce Mawazo''
- Andrew Nkumbi