Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukutane kwenye matokeo ya uchaguzi 2025, mwendo ni ule ule 'tumeibiwa kura'CHADEMA hata wakisimama wenyewe kwa sasa wana NGUVU kuliko miaka yote iliyopita.
Cdm hawawezi kuendelea kushiriki kwenye chaguzi hizi kukiwa na mazingira Yale Yale ya kupotezeana muda. Kama uchaguzi umedoda hiyo ni juu yenu. Mmeachiwa goli wazi mshinde bila usumbufu, maana hamna uwezo wa kushinda tena kihalali.Mbona hawataki kushiriki chaguzi ndogo? Kuna uchaguzi wa Mbarali wameususia
Kwa hiyo 2025 pia hawatashiriki? Maana mazingira yatakua ni haya hayaCdm hawawezi kuendelea kushiriki kwenye chaguzi hizi kukiwa na mazingira Yale Yale ya kupotezeana muda. Kama uchaguzi umedoda hiyo ni juu yenu. Mmeachiwa goli wazi mshinde bila usumbufu, maana hamna uwezo wa kushinda tena kihalali.
Mfa maji haachi kutapatapaChama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA wanakusudia kuanzisha umoja utakao unganisha vyama vya siasa vya upinzani na jumuiya mbali mbali za kidini kudai katiba mpya sasa.
ACT wametengwa kwa kuwa msimamo wao na ushiriki wao kwenye Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar unawafunga mikono.
Baadhi ya wana CCM wanaotajwa kusakwa kwa udi na uvumba na Chadema kwenye mkakati huu ni viongozi waandamizi kama Joseph Butiku, Warioba, Bashiru Ally na Luhaga Mpina (huyu wanamtafuta kwa kuwa ana mgogoro na chama chake kwa sasa).
Rai yangu: Nawasihi Chadema wakanyage taratibu huu waya wanaotaka kuuendea, kuhusisha dini kutawagawa wanachama wao na kama chama cha siasa si jambo la busara sana kuegemea kwenye taasisi za kidini.
Mimi sio msemaji was cdm, lakini sisi wapiga kura tunaojitambua, hatutajitokeza kupiga kura kwenye huo ushenzi uitwao uchaguzi iwapo mazingira yatakuwa ni hayahaya.Kwa hiyo 2025 pia hawatashiriki? Maana mazingira yatakua ni haya haya
Mbona uliisemea kuwa haiwezi kushiriki Mbarali sababu ya mazingira? Kuna muda unakuwa msemaji wao na kuna muda unakuwa sio msemaji wao?Mimi sio msemaji was cdm, lakini sisi wapiga kura tunaojitambua, hatutajitokeza kupiga kura kwenye huo ushenzi uitwao uchaguzi iwapo mazingira yatakuwa ni hayahaya.
Nimekupa taarifa ambayo tayari ni rasmi toka chamani mwao, hayo ya 2025 sijui msimamo wao kama chama. Au una jazba hadi huelewi maelezo?Mbona uliisemea kuwa haiwezi kushiriki Mbarali sababu ya mazingira? Kuna muda unakuwa msemaji wao na kuna muda unakuwa sio msemaji wao?
Wenye jazba ni nyie watukanaji na walalamikaji...Hicho chama chenu huwa hamuwahoji wakiwapa taarifa kama hizo? Kuwa wanaogomea uchaguzi, je huo mgomo utakuwa hadi lini, au mnaambiwa tu na kuitikia kama misukule?Nimekupa taarifa ambayo tayari ni rasmi toka chamani mwao, hayo ya 2025 sijui msimamo wao kama chama. Au una jazba hadi huelewi maelezo?
Panya hata wakiwa.100 akija paka Mmoja hatabakia panya wote watakimbia!;Chama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA wanakusudia kuanzisha umoja utakao unganisha vyama vya siasa vya upinzani na jumuiya mbali mbali za kidini kudai katiba mpya sasa.
ACT wametengwa kwa kuwa msimamo wao na ushiriki wao kwenye Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar unawafunga mikono.
Baadhi ya wana CCM wanaotajwa kusakwa kwa udi na uvumba na Chadema kwenye mkakati huu ni viongozi waandamizi kama Joseph Butiku, Warioba, Bashiru Ally na Luhaga Mpina (huyu wanamtafuta kwa kuwa ana mgogoro na chama chake kwa sasa).
Rai yangu: Nawasihi Chadema wakanyage taratibu huu waya wanaotaka kuuendea, kuhusisha dini kutawagawa wanachama wao na kama chama cha siasa si jambo la busara sana kuegemea kwenye taasisi za kidini.
Kwa taarifa yako nilishangaa hata uchaguzi mkuu wa 2020 walishiriki vipi, wakati dalili zote za uhayawani zilikuwa wazi. Sina chochote Cha kuhoji maana wamechukua uamuzi sahihi wa kususia chaguzi za kishenzi. Huo mgomo wao kama chama wanaweza kuwa na time frame yao, lakini sisi wapiga kura tunaojitambua ni Hadi mazingira sahihi yawepo.Wenye jazba ni nyie watukanaji na walalamikaji...Hicho chama chenu huwa hamuwahoji wakiwapa taarifa kama hizo? Kuwa wanaogomea uchaguzi, je huo mgomo utakuwa hadi lini, au mnaambiwa tu na kuitikia kama misukule?
Wakimueka mpina mwizi wamalizetu wavuvi sisi wavuvi tutawanyonga kabisa kwadhuluma ile tunamuomba mama aturudishie malizetu tu kwakuwa hatawao wanakiri kichaa mpina alituzulumu kweli.Nahadi sasa mpina hakusema alikusanya kiasi gani nahadi sasa anashikilia malizetu zakiasi gani mwizi yuleChama cha demokrasia na Maendeleo CHADEMA wanakusudia kuanzisha umoja utakao unganisha vyama vya siasa vya upinzani na jumuiya mbali mbali za kidini kudai katiba mpya sasa.
ACT wametengwa kwa kuwa msimamo wao na ushiriki wao kwenye Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar unawafunga mikono.
Baadhi ya wana CCM wanaotajwa kusakwa kwa udi na uvumba na Chadema kwenye mkakati huu ni viongozi waandamizi kama Joseph Butiku, Warioba, Bashiru Ally na Luhaga Mpina (huyu wanamtafuta kwa kuwa ana mgogoro na chama chake kwa sasa).
Rai yangu: Nawasihi Chadema wakanyage taratibu huu waya wanaotaka kuuendea, kuhusisha dini kutawagawa wanachama wao na kama chama cha siasa si jambo la busara sana kuegemea kwenye taasisi za kidini.
Kuna haja ya kuwa na double vetting za mawaziri, makosa kama ya mpina kipindi akiwa waziri yaligharimu mali na pengine maisha ya watu.Wakimueka mpina mwizi wamalizetu wavuvi sisi wavuvi tutawanyonga kabisa kwadhuluma ile tunamuomba mama aturudishie malizetu tu kwakuwa hatawao wanakiri kichaa mpina alituzulumu kweli.Nahadi sasa mpina hakusema alikusanya kiasi gani nahadi sasa anashikilia malizetu zakiasi gani mwizi yule
Kaka nimshenzi mbwa yule kichaa kweli kunajamaa walimkuta anaumwa walimpiga sana kosa hakuna aliumia sana. Tulitangaziwa tuwaonyeshe zanazetu tulitekeleza kwaroho moja naleseni tuliwapa lakini majibu yao walisema wao siokwamba tumekuja kukagua nyavu sisi tumetumwa pesa kamahuna pesa tunachoma iliwengine waokope tupate pesa ukitoa pesa tunaacha malizako jamaa mpina kama mungu angekubali duayangu auguwa wehu yaani kifupi mungu amlani mpina mudawote viongozi wengine waliumizwa nahaliile walijaribu kutetea walijibu wao wanamsikiliza mpina na rais tuKuna haja ya kuwa na double vetting za mawaziri, makosa kama ya mpina kipindi akiwa waziri yaligharimu mali na pengine maisha ya watu.
Mtu kuchomewa nyavu zake huenda wengine walizimia na kufa kabisa
HovyooooKwahy mnataka Ukristo dhidi ya Uislamu?aibu sana hata soni hamna?
Wajinga kabisa.
pole sana kamandaKaka nimshenzi mbwa yule kichaa kweli kunajamaa walimkuta anaumwa walimpiga sana kosa hakuna aliumia sana. Tulitangaziwa tuwaonyeshe zanazetu tulitekeleza kwaroho moja naleseni tuliwapa lakini majibu yao walisema wao siokwamba tumekuja kukagua nyavu sisi tumetumwa pesa kamahuna pesa tunachoma iliwengine waokope tupate pesa ukitoa pesa tunaacha malizako jamaa mpina kama mungu angekubali duayangu auguwa wehu yaani kifupi mungu amlani mpina mudawote viongozi wengine waliumizwa nahaliile walijaribu kutetea walijibu wao wanamsikiliza mpina na rais tu