Ukawa msipotolea tamko maneno haya mtaanguka

Ukawa msipotolea tamko maneno haya mtaanguka

Kwa hiyo unashauri nn Mpenda mabadiliko mwenzangu

Ushauri wangu mkubwa ni kuwa Wana CDM,CUF,NLD na NCCR (UKAWA) tusikurupuke kujibu hoja.Kama ukiamua kuijibu tuangalie muda mzuri wa kuijibu ni pale ambapo tutaijibu bila jazba...Uzushi una tabia moja.Kati ya watu 10 unaweza kuwafikia watu wanne,unapoukanusha unajikuta hata wale 6 waliobaki ndio unawasambazia.
 
Wengi hawajasikia coz pahala alikotolea ufafanuzi sio murua!

Ifanywe hivi:
Two days before press iitwe. Hii ni ku draw attention kwa umma! Then u libya upingwe, na video ya lowassa ipingwe!

Chadema mnapotea kwenye game nawaona. Umma wa watz wapo delicate sana, anything can change them!

Fanyeni counter attack mapema, msisubiri sumu ienee!

Mkuu umeongea WAZO nzuri Sana. UONGOZI wa UKAWA unatakiwa ujitokeze hadharani mapema ili kumuondoa Mtanzania(hasa mwanamke) HOFU YA VITA ya libya. Kauli ya kwamba "mwanamke ndiye muathirika namba moja" Itawafanya wanawake Wengi waogope kupigia kura vyama vya upinzani. Chondechonde UONGOZI WA JUU nawaomba mfanye press conference mapema kwani huku mtaani kwangu hiyo propaganda ya VITA inayotumiwa na CCM inazidi kuwa kupunguza wapiga kura Wanamake kila siku. Mwenye namba ya Mbowe au email address yake naomba ili mm nimjulishe.
 
Back
Top Bottom