Kwa hiyo unashauri nn Mpenda mabadiliko mwenzangu
Wengi hawajasikia coz pahala alikotolea ufafanuzi sio murua!
Ifanywe hivi:
Two days before press iitwe. Hii ni ku draw attention kwa umma! Then u libya upingwe, na video ya lowassa ipingwe!
Chadema mnapotea kwenye game nawaona. Umma wa watz wapo delicate sana, anything can change them!
Fanyeni counter attack mapema, msisubiri sumu ienee!
Magufuli katika mikutano yake mingi amekuwa akipotosha kuwa nchi yetu itakuwa kama Libya endapo mtachagua wapinzania