Hivi hawa jamaa vipi...wanaikataa katiba inayopendekezwa halafu wanataka vitu vilivyo kwenye katiba inayopendekezwa vitumike kwenye uchaguzi mwezi octoba
1:tume huru ya uchaguzi
2:matokeo ya rais kupingwa mahakamani
3:rais ashinde kwa zaid ya asilimia 50 yaani 50+1
4:mgombea huru
Kwa akili za kawaida mtu unatakiwa uone ni kiasi gani wanaikubali katiba hii inayopendekezwa...me nashukuru kwa wao kuuonesha unafki wao kwa kuwarubuni wananchi kuikataa ili wakose kile kilicho bora ndani ya katiba inayopendekezwa....watanzania tusiwe wajinga kurubuniwa na kundi hili na compani yao
UKAWA ni genge la wasaka tonge tu.
Sijui mmekula maharage ya wapi mkavimbiwa?? Katiba inaweza ikaahirishwa mpaka mwakani. Lakini mwaka huu ni wa uchaguzi. Ili ufanyike uchaguzi bora, huru na haki sio ukawa peke yake ni vyama vyote chini ya TCD viliazimia hayo yafanyike Jk ikiwa mmoja wao. Sasa inachekesha mnavyotumia hivyo vifungu ili eti mbariki likatiba lenu bovu.. hiyo katiba haitapita.
Naona wiki imekuwa ndefu hakuna posho... Vijana wa lumumba njaa zitawaua..buku saba inawatoa ufahamu
Hivi hawa jamaa vipi...wanaikataa katiba inayopendekezwa halafu wanataka vitu vilivyo kwenye katiba inayopendekezwa vitumike kwenye uchaguzi mwezi octoba
1:tume huru ya uchaguzi
2:matokeo ya rais kupingwa mahakamani
3:rais ashinde kwa zaid ya asilimia 50 yaani 50+1
4:mgombea huru
Kwa akili za kawaida mtu unatakiwa uone ni kiasi gani wanaikubali katiba hii inayopendekezwa...me nashukuru kwa wao kuuonesha unafki wao kwa kuwarubuni wananchi kuikataa ili wakose kile kilicho bora ndani ya katiba inayopendekezwa....watanzania tusiwe wajinga kurubuniwa na kundi hili na compani yao
Hivi hawa jamaa vipi...wanaikataa katiba inayopendekezwa halafu wanataka vitu vilivyo kwenye katiba inayopendekezwa vitumike kwenye uchaguzi mwezi octoba
1:tume huru ya uchaguzi
2:matokeo ya rais kupingwa mahakamani
3:rais ashinde kwa zaid ya asilimia 50 yaani 50 1
4:mgombea huru
Kwa akili za kawaida mtu unatakiwa uone ni kiasi gani wanaikubali katiba hii inayopendekezwa...me nashukuru kwa wao kuuonesha unafki wao kwa kuwarubuni wananchi kuikataa ili wakose kile kilicho bora ndani ya katiba inayopendekezwa....watanzania tusiwe wajinga kurubuniwa na kundi hili na compani yao
Umeona kaka!! tena wanapenda uongozi kweli na ni wabaguzi ama wakabila wakubwa.
Mpuuzi wewe na hao walokutuma, kama huna hela ya sikukuu useme watu wakupe, kojoa ukalalwe huko unaongea ujinga ujinga tu humu ndani au umetumwa, buku 7 huyo alokuzaaa mchumia tumbo wewe.
Mpuuzi wewe na hao walokutuma, kama huna hela ya sikukuu useme watu wakupe, kojoa ukalalwe huko unaongea ujinga ujinga tu humu ndani au umetumwa, buku 7 huyo alokuzaaa mchumia tumbo wewe.
Tulia dawa iingie.. jibu hoja sio kukurupuka na kuvimbiwa kwako na pilau la pasaka. Nimewaambia hayo mliyoorodhesha ni maazimio ya kikao cha mwisho cha TCD chini ya mwenyekiti ya mwenyekiti John Cheyo kilichofanyika Ikulu ya Dodoma.. Jk na CCM no wajumbe halali na walishiriki.
Sasa unatakiwa upinge kwa hoja... Kwamba hayo maazimio sio ya TCD.
Sasa wewe mpuuz mmoja, mjinga mmoja unajiita Ebola Hatari cjui umekula maharage ya wapi, unawayawaya kama mtoto uliyevishwa nepi..
Jibu hojaaa!! Sio maneno
Hivi hawa jamaa vipi...wanaikataa katiba inayopendekezwa halafu wanataka vitu vilivyo kwenye katiba inayopendekezwa vitumike kwenye uchaguzi mwezi octoba
1:tume huru ya uchaguzi
2:matokeo ya rais kupingwa mahakamani
3:rais ashinde kwa zaid ya asilimia 50 yaani 50+1
4:mgombea huru
Kwa akili za kawaida mtu unatakiwa uone ni kiasi gani wanaikubali katiba hii inayopendekezwa...me nashukuru kwa wao kuuonesha unafki wao kwa kuwarubuni wananchi kuikataa ili wakose kile kilicho bora ndani ya katiba inayopendekezwa....watanzania tusiwe wajinga kurubuniwa na kundi hili na compani yao
Inaonekana kwenu mmeshindia maharage hahahahaha maana unayapenda kuyataja taja weka namba nkutumie hela mule pilau leo maana mtaendelea kuharisha harisha ovyo, waswahili wanasema AISIFIAE MVUA UJUE IMEMNYEA ndo wewe unatajataja sana maharage humu ndani, jana juzi mmeshindia hayo hayo hapo kwenu eeenh!! pole sana HAPA KUKU TUUU, DAGAA HAMU!!
Hv mmelipwa ujira gani unaomfanya kudharau hata wazazi wenu.....
Kinachopongwa na UKAWA ni hii katiba pendekezwa sawa....na wanachokubali UKAWA ni ile rasimu ya pili ya Mh. Warioba.
Sawli: Je hayo uliyoyaandika yapo kwenye rasimu ya pili ama hayapo?
Je katika vitu hinavyopingwa na UKAWA hivyo ulivyovitaja vipo?
Acha ushabiki tu eti kwakuwa umepewa fulana na kofia kaa chini tafakari maisha anayoishi babu yako au bibi yako kule kijijini amestahili kuishi maisha hayo? Usifungwe akili na kutegemea za mwenzako....ZINDUKA.
Inaonekana kwenu mmeshindia maharage hahahahaha maana unayapenda kuyataja taja weka namba nkutumie hela mule pilau leo maana mtaendelea kuharisha harisha ovyo, waswahili wanasema AISIFIAE MVUA UJUE IMEMNYEA ndo wewe unatajataja sana maharage humu ndani, jana juzi mmeshindia hayo hayo hapo kwenu eeenh!! pole sana HAPA KUKU TUUU, DAGAA HAMU!!