Maramla
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 588
- 648
Hivi hawa jamaa vipi...wanaikataa katiba inayopendekezwa halafu wanataka vitu vilivyo kwenye katiba inayopendekezwa vitumike kwenye uchaguzi mwezi octoba
1:tume huru ya uchaguzi
2:matokeo ya rais kupingwa mahakamani
3:rais ashinde kwa zaid ya asilimia 50 yaani 50+1
4:mgombea huru
Kwa akili za kawaida mtu unatakiwa uone ni kiasi gani wanaikubali katiba hii inayopendekezwa...me nashukuru kwa wao kuuonesha unafki wao kwa kuwarubuni wananchi kuikataa ili wakose kile kilicho bora ndani ya katiba inayopendekezwa....watanzania tusiwe wajinga kurubuniwa na kundi hili na compani yao
1:tume huru ya uchaguzi
2:matokeo ya rais kupingwa mahakamani
3:rais ashinde kwa zaid ya asilimia 50 yaani 50+1
4:mgombea huru
Kwa akili za kawaida mtu unatakiwa uone ni kiasi gani wanaikubali katiba hii inayopendekezwa...me nashukuru kwa wao kuuonesha unafki wao kwa kuwarubuni wananchi kuikataa ili wakose kile kilicho bora ndani ya katiba inayopendekezwa....watanzania tusiwe wajinga kurubuniwa na kundi hili na compani yao