Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
Sijaona hoja ya msingi hapo yaani sijui unaimba au unaigiza labda waje wengine wakuelimishe
Sema huelewi tu wewe hoja yako iko wapi?hujui kuwa ukawa ni makaburu.
kijana uwage muelewaNdo wale wale
Sijaona hoja ya msingi hapo yaani sijui unaimba au unaigiza labda waje wengine wakuelimishe
pole kwa upungufu wa akili, ungekuwa na upungufu wa damu ningekuongezea damu lkn unaupungufu wa akili ntakusaidiaje hapo maana umekuwa mgumu kama mbogo. Pole sana au ilikimbia Milembe?Sijaona hoja ya msingi hapo yaani sijui unaimba au unaigiza labda waje wengine wakuelimishe
Kaka kuitwa mjinga sio tusi tena ufurahi kuwa mjinga kwasabab baada ya kukuelimisha utakuwa umeerevuk....
Si ndo mana nkasema makuz yako uliyokulia hayo mambo ndo msingi wako mkuu soma uelewe