UKAWA mtakuwa wehu

UKAWA mtakuwa wehu

Sijaona hoja ya msingi hapo yaani sijui unaimba au unaigiza labda waje wengine wakuelimishe

Uelewaji unategemea na kichwa cha mtu..sasa kama kichwa chako kigumu hamna haja ya kukuelimisha....nimekuelewesha tu hulazimishwi kuelewa kaka...
 
Sijaona hoja ya msingi hapo yaani sijui unaimba au unaigiza labda waje wengine wakuelimishe
pole kwa upungufu wa akili, ungekuwa na upungufu wa damu ningekuongezea damu lkn unaupungufu wa akili ntakusaidiaje hapo maana umekuwa mgumu kama mbogo. Pole sana au ilikimbia Milembe?
 
Pia inaonesha lugha chafu kwako ndo msingi mkuu wa maisha yako ukisoma heading tu ya hii habar utajua nini kusudio lako!!!

Kaka kuitwa mjinga sio tusi tena ufurahi kuwa mjinga kwasabab baada ya kukuelimisha utakuwa umeerevuk....
 
Kaka kuitwa mjinga sio tusi tena ufurahi kuwa mjinga kwasabab baada ya kukuelimisha utakuwa umeerevuk....

Si ndo mana nkasema makuz yako uliyokulia hayo mambo ndo msingi wako mkuu soma uelewe
 
Si ndo mana nkasema makuz yako uliyokulia hayo mambo ndo msingi wako mkuu soma uelewe

Hoja ni msingi wa mada hii, hivyo wasomaji na wachangiaji wa topic tulumbane kwa hoja ili kueleweshana ili mwisho wa siku mambo yawe safi na watu waelimike.
 
Back
Top Bottom