radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
UKAWA ni genge la wasaka tonge tu.
ni genge lipi lipo kwa maslahi ya taifa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UKAWA ni genge la wasaka tonge tu.
We unawaambia wenzio na wewe huoni yanakuhusu hayo? kama umetumwa pole sana humu hatuhitaji wachumia matumbo, uzalendo kwanza mengine baadae, kama uliahidiwa cheo huko ujue kibarua unacho cha kukosoa mambo mazuri.
Nadhani unamalizia zile posho ulizopewa kwa ajili ya pasaka kwa kunywa viloba asubuhi na mapema.
Unapojaribu kuchambua kitu ikawa umeegemea kule akili yako inakokupeleka huwezi kujua mambo....
Katiba sio hvyo vitu vinne ambavyo kimsingi vimewekwa tofauti kabisa.
Nakusisitiza tena ZINDUKA na uachane na ushabiki wa kuangalia mifukoni mwa watu
Hahahaha unaonekana wewe hiyo ndo kazi yako eeeenh? pole sana acha hiyo tabia, waswahili husema "AISIFIAE MVUA UJUE IMEMNYEA" ndo wewe unayoyasema hayo ndo unanidhihirishia kwangu kuwa ndo tabia yako hiyo, acha kazi ya kibaraka wewe we umekuwa JINI mpaka utumwe? kuwa mzalendo kwa nchi yako, soma hiyo Katiba acha mbwembwe.
Khee kumbe na hii hoja nayo!!!
Ukifukuzana na chizi nawe pia utaonekana ni chizi.
Sitaki msemo huo utimie maana huji na hoja bali mihemko ya v.i.l.o.b.a....endelea kujipanga foleni upate posho
Hivi hawa jamaa vipi...wanaikataa katiba inayopendekezwa halafu wanataka vitu vilivyo kwenye katiba inayopendekezwa vitumike kwenye uchaguzi mwezi octoba
1:tume huru ya uchaguzi
2:matokeo ya rais kupingwa mahakamani
3:rais ashinde kwa zaid ya asilimia 50 yaani 50+1
4:mgombea huru
Kwa akili za kawaida mtu unatakiwa uone ni kiasi gani wanaikubali katiba hii inayopendekezwa...me nashukuru kwa wao kuuonesha unafki wao kwa kuwarubuni wananchi kuikataa ili wakose kile kilicho bora ndani ya katiba inayopendekezwa....watanzania tusiwe wajinga kurubuniwa na kundi hili na compani yao
Inaonekana kwenu mmeshindia maharage hahahahaha maana unayapenda kuyataja taja weka namba nkutumie hela mule pilau leo maana mtaendelea kuharisha harisha ovyo, waswahili wanasema AISIFIAE MVUA UJUE IMEMNYEA ndo wewe unatajataja sana maharage humu ndani, jana juzi mmeshindia hayo hayo hapo kwenu eeenh!! pole sana HAPA KUKU TUUU, DAGAA HAMU!!
Tatizo sio kilichomo kwenye katiba wanayopendekeza, bali kilichoondolewa.
Madaraka ya Rais
Ukomo wa Ubunge
Uwajibikaji
Na mengine mengi unayafumbia macho.
Kuna huyu jamaa anaejiita Ebola Hatari ni zuzu kupitiliza na huwa hajengi hoja.
Anipe vigezo vilivyotumika kuondoa hizi ibara katika MAADILI NA MIIKO YA UONGOZI WA UTUMISHI WA UMMA.
Nitaonyesha kwa ufupi katika rasimu ya pili ya katiba..
Ibara 15- inazungumzia suala LA zawadi katika utumishi wa umma
Ibara 16-inazungumzia umiliki wa akaunti ya nje ya nchi na mikopo
Ibara 17-inazungumzia wajibu wa kutangaza mali na madeni pindi unapoingia katika utumishi na baada ya kutoka katika utumishi wa umma kwa mali zako, za mwenzi wako wa ndoa na watoto wako waliochini ya umri wa miaka 18
Ibara 19-inazungumzia matumizi ya mali ya umma binafsi au kwa mtu unayenufaika naye.
Kiakili ya kawaida huwezi kuona kama hii katiba imeacha vitu vya msingi sana katika kuwasimamia watumishi wetu umma. Kila siku tunalalamika kuhusu viongozi wetu kulimbikiza mamilioni ya shilingi akaunti za nje hatuoni kama kwa kutumia vipengele hivi tungepunguza tatizo kama sio kuliondoa kabisa.
Tuache uzalendo wa kinafiki.
Mpuuzi wewe na hao walokutuma, kama huna hela ya sikukuu useme watu wakupe, kojoa ukalalwe huko unaongea ujinga ujinga tu humu ndani au umetumwa, buku 7 huyo alokuzaaa mchumia tumbo wewe.
ni genge lipi lipo kwa maslahi ya taifa??
Sijui mmekula maharage ya wapi mkavimbiwa?? Katiba inaweza ikaahirishwa mpaka mwakani. Lakini mwaka huu ni wa uchaguzi. Ili ufanyike uchaguzi bora, huru na haki sio ukawa peke yake ni vyama vyote chini ya TCD viliazimia hayo yafanyike Jk ikiwa mmoja wao. Sasa inachekesha mnavyotumia hivyo vifungu ili eti mbariki likatiba lenu bovu.. hiyo katiba haitapita.
Naona wiki imekuwa ndefu hakuna posho... Vijana wa lumumba njaa zitawaua..buku saba inawatoa ufahamu
sio kwamba ni mbaya yote kuna baadhi ya mambo hayapo sawa kuna baadhi ya vipengele vipo kiujanja kila kundi limewakilishwa ila hizo haki hawez kuzidai kisheria.
Hv mmelipwa ujira gani unaomfanya kudharau hata wazazi wenu.....
Kinachopongwa na UKAWA ni hii katiba pendekezwa sawa....na wanachokubali UKAWA ni ile rasimu ya pili ya Mh. Warioba.
Sawli: Je hayo uliyoyaandika yapo kwenye rasimu ya pili ama hayapo?
Je katika vitu hinavyopingwa na UKAWA hivyo ulivyovitaja vipo?
Acha ushabiki tu eti kwakuwa umepewa fulana na kofia kaa chini tafakari maisha anayoishi babu yako au bibi yako kule kijijini amestahili kuishi maisha hayo? Usifungwe akili na kutegemea za mwenzako....ZINDUKA.
Sini ukawa wanasema mgombea binafs kawekewa mashart magumu....sini ukawa wanasema tume huru ni geresha....kaka usitake kutudanganya hayahaya ni miongoni mwa wanayoyapinga usidhani hatusomi...kingine kama ww huelewi usifanye wengine hawaelewi nan asiyejua yale ya warioba yalikuwa mapendekezo....kibaya zaidi kuna baadhi ya vitu walifanya case study which iz not relevant......mfano ishu ya wananchi kumuondoa mmbunge madarakani...mnatumia marekani yenye majimbo kama 50 hivi na hilo jambo linatumika kwenye majimbo 13 tu..how can u made it a case study...think it should be called cease study....umesahau kuwa bunge maalum ndilo lilikuwa na haki kishria kuileta katiba inayopendekezwa...kingine mbona asilimia kubwa ya yaliyokuwa kweny mapendekezo ya warioba yamo kwenye katiba inayopendekezwa....umesahau wasanii hawakuwepo kwenye mapendekezo ya warioba ulitaka kundi hili lilobeba vijana wengi liwe rejected kama warioba alivyofanya kwenye mapendekezo...au ulitaka walemavu wakose haki ya kupata nafuu kwenye matibabu kama warioba alivyopendekeza....acheni roho mbaya kutaka kukandamiza waliopata haki kikatiba kwa maslahi yenu ya kisiasa
Wewe acha ujinga katiba inayopendekezwa kweli hujaisoma....ukaitaka kuona namna gani hizi haki zitatekelezwa tena kwa ufasah kabisa nenda kasome ibara ya 65 yote na vipengele vyake vitakusaidia.....ili uondokane na hilo giza kichwani kwako....waliokaa mule bungeni..maprofesa madokta...wakulima...walemavu....etc wote walikuw very keen kuhakikisha wanakuja kutendewa haki na katiba hii na ndivyo walivyoishape kuhakikisha kila raia ananufaika nayo
Wewe acha ujinga katiba inayopendekezwa kweli hujaisoma....ukaitaka kuona namna gani hizi haki zitatekelezwa tena kwa ufasah kabisa nenda kasome ibara ya 65 yote na vipengele vyake vitakusaidia.....ili uondokane na hilo giza kichwani kwako....waliokaa mule bungeni..maprofesa madokta...wakulima...walemavu....etc wote walikuw very keen kuhakikisha wanakuja kutendewa haki na katiba hii na ndivyo walivyoishape kuhakikisha kila raia ananufaika nayo
Sijui mmekula maharage ya wapi mkavimbiwa?? Katiba inaweza ikaahirishwa mpaka mwakani. Lakini mwaka huu ni wa uchaguzi. Ili ufanyike uchaguzi bora, huru na haki sio ukawa peke yake ni vyama vyote chini ya TCD viliazimia hayo yafanyike Jk ikiwa mmoja wao. Sasa inachekesha mnavyotumia hivyo vifungu ili eti mbariki likatiba lenu bovu.. hiyo katiba haitapita.
Naona wiki imekuwa ndefu hakuna posho... Vijana wa lumumba njaa zitawaua..buku saba inawatoa ufahamu