STRONG LADY MASAGARY
Member
- Sep 17, 2015
- 22
- 3
Naombeni mnieleweshe nasikia kwamba uke hujisafisha wenyewena kutoauchafu wa kawaidajeuchafu wa kawaida una rangi gani?
dahhh mtu anauliza swali la maana anaishia kujibiwa mizaha tu
Nadhani title hapo juu haikua yenyewe,
"Uke una Rangi gani?"
Kwa kua swali lako ni,
Uchafu unaotoka ukeni wa kawaida una rangi gani?
Ili kama ikiwa rangi tofauti ujue kua una tatizo,
Jibu ni kua,
Uchafu wa kawaida hua na rangi nyeupe na wengine rangi ya cream isiyokoza na HUA HAUNUKI.
Kunuka ule uchafu ni dalili kubwa ya tatizo,
Wataalamu wanajua zaidi.
shukrani mkuu, jibu murua sana hili.