Uke unauma

Ungejaribu "abdalah" mwingine,yawezekana huyo wa sasa hamshabihiani.
 
weka pichaaaaaa😛hoto:
 
Tatizo lipo kwenye G sport imebugudhiwa ni pm nikupe maelekezo zaidi
 
nina miaka 24 na nimeanza kufanya mapenz nikiwa na miaka 20, na ndo mpenzi wangu niliye naye sasa.. na sijawahi kuwa na mpenzi mwingine

Je, hujawahi kuchepuka kabisaaaa....maisha yako yote??? au jamaa ako hajapiga goma la mtu sasa wadau wamemuweka sawa kupitia wewe?? maumivu yakizidi njoo unione nikupe tiba kama unavyoniona katika picha yangu....kazi ni kwako.
 
Ais¨¦e!!
 
nakushauri ukatafute wataalamu zaidi, swala la kupaka mafuta ya ky jelly ni zuri je..... utapaka mpakalini?
 
kuna upuuzi mwingi sana unaendelea hapa jf sasa hivi, kuna wapuuzi wanaodhani hili ni jukwaa la mmu.

hapa ni jf doctor kama huna idea ya tiba anayohitaji mtu weka kijambio chako chini skip to another thread siyo kuja kukata mauno kama upo kwenye vigodoro.

msg hii ni kwa wapuuzi wote mlioleta pumba zenu kwenye thread inayohitaji tabibu.

Dr Riwa upo? msaidie huyu binti tafadhari.
 
Last edited by a moderator:

Matola naomba utulize Munkari
nimegundua hili tatizo linahitaji madokta tofauti na hao unaozani wewe
maadam kaenda hospital bila msaada wowote
dawa hapo ni moja tu..afatilie nilicho mshauri!
 
Last edited by a moderator:

Jee, unafanya hayo mapenzi na mume wako wa ndoa au unafanya zinaa?
 
Jee, unafanya hayo mapenzi na mume wako wa ndoa au unafanya zinaa?

wewe bibi huku umepotea njia, hili ni jukwaa la jf doctor usilete stress zako na ufia dini wako, watoto wako mwenyewe wanagongwa tu kama kawa.
 
wewe bibi huku umepotea njia, hili ni jukwaa la jf doctor usilete stress zako na ufia dini wako, watoto wako mwenyewe wanagongwa tu kama kawa.

mkuu ako kabint huwa nakashangaa sana na misimamo yake , wakati anaandika kikristu, yani kutoka kushoto kwenda kulia badala ya kulia kwenda kushoto kama anavyo amini!!!!
 
kama unaumia tafuta kingine cha kufanya
 

Zinaa ni dhambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…