KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
8/3/2023
NANSIO - UKEREWE
MH Hassani Bomboko Mkuu wa wilaya ya Ukerewe ameshiriki Kongamano la Siku ya Wanawake Duniani katika Kuhitimisha Wiki ya Mwanamke Wilayani Ukerewe
Akizungumza na wanawake wa wilaya ya Ukerewe Mh Bomboko amewataka Wananchi Kumthamini na Kumheshimu Mwanamke katika Jamii ya ukerewe
"Mwanamke ni Nguzo katika Ustawi wa Jamii yetu, lazima Tukemee na Kupinga Unyanyasaji na Ukatili wa kijinsia Pamoja na ukandamizaji wa Haki za wanawake, Kama Vile Kupata Elimu, Kupewa Fursa na Vipaumbele katika Jamii, Kurithi Kuchagua na Kuchaguliwa."
UKEREWE TUITAKAYO - Kazi Iendelee.
8/3/2023
NANSIO - UKEREWE
MH Hassani Bomboko Mkuu wa wilaya ya Ukerewe ameshiriki Kongamano la Siku ya Wanawake Duniani katika Kuhitimisha Wiki ya Mwanamke Wilayani Ukerewe
Akizungumza na wanawake wa wilaya ya Ukerewe Mh Bomboko amewataka Wananchi Kumthamini na Kumheshimu Mwanamke katika Jamii ya ukerewe
"Mwanamke ni Nguzo katika Ustawi wa Jamii yetu, lazima Tukemee na Kupinga Unyanyasaji na Ukatili wa kijinsia Pamoja na ukandamizaji wa Haki za wanawake, Kama Vile Kupata Elimu, Kupewa Fursa na Vipaumbele katika Jamii, Kurithi Kuchagua na Kuchaguliwa."
UKEREWE TUITAKAYO - Kazi Iendelee.