Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wilayani Nansio vituo vyote vya mafuta havina mafuta, Rais Samia ametulia tu. Hii nchi sasa imeelekea kufeli tena big big failure.
Anawachekea waliomwingiza chaka la dpw.Wilayani Nansio vituo vyote vya mafuta havina mafuta, Rais Samia ametulia tu. Hii nchi sasa imeelekea kufeli tena big big failure.
Hapo soko mjinga,Mkuu mleta mada upo Nansio sehem gani??
Hii wilaya ya Nansio bila shaka itakuwa wilaya mpyaWilayani Nansio vituo vyote vya mafuta havina mafuta, Rais Samia ametulia tu. Hii nchi sasa imeelekea kufeli tena big big failure.
Wilayani Nansio vituo vyote vya mafuta havina mafuta, Rais Samia ametulia tu. Hii nchi sasa imeelekea kufeli tena big big failure.
Kama Wizara ya Nishati imesema mafuta yapo, basi kinachoendelea ktk huu mkwamo ni HUJUMA.Wilayani Nansio vituo vyote vya mafuta havina mafuta, Rais Samia ametulia tu. Hii nchi sasa imeelekea kufeli tena big big failure.
Napita tuuuuuEnzi zile tukitembea kwa miguu kutoka Nansio hadi Bugolora kwa vile hakukuwa na usafiri na barabara zinazoeleweka. Inasikitisha leo Karne ya 21 tunarudi kule kule kwa sababu ya ujinga wa watu fulani fulani.