Ukiacha Kenya, hii kitu hufanyika wapi hapa duniani?

Mlioangalia hiyo clip mtuelezee wengine dawa za kuzuia kutapika hatutembei nazo
Usijaribu kuangalia, Mimi nimefanya kosa kuangalia, hapa nilipo nipo na ndoo ninaendelea kutapika, yaani nimetapika hadi meno mawili yamedondoka, yaani sio mchezoooo.
 
Nione aibu kinyesi...labda nione aibu matukio ya kula watu
Wewe jamaa hujioni hata aibu. Wenzako wameukimbia uzi huu maana ni aibu. Wewe unatete m&vi kubebwa kwenye mapipa.
Unatia kinyaa.
 
Imekuchoma jana kuambiwa mmefungua uzi kw ajili ya ku cover ule wa nairobi....ila sio mbaya na wewe kujifurahisha
Alafu huu uzi ni balaa leo [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani umewafanya watafungua nyuzi za ovyo ovyo leo.
 
Punguza ma feelings basi...kujichekesha haimaanishi eti huaga hazikuchomi
Just because nyuzi huwa zinakuchoma usidhani kila mtu anachukulia serious nyuzi upuuzi wenu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu ndio mtu anakwambia tuma na ya kutolea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…